umesema kweli kamanda na mm ninakuung mkon, hi nsababu kubwa inanifany niichukie ccm, wao na vyombo vy dola wanajiskia sana na kuiona hii nch kama ya kwao hv, oh mwenyez mungu tusaidie na umsaidie edward lowasa pamoja na mbowe kwan wamenyanyaswa sana pale wanapojaribu kusimamia haki' nakuomba...
Ndugu wana jamvi, nimekuwa nikifuatili kwa kina mikutano na sera za mgombea wa urais kwa tiketi ya ccm mh. John Pombe Magufuli, baadhi ya mambo ambayo amekuwa akiyanadi na kujisifia n kuwa baada tu ya yeye kuchaguliwa kuwania urais mafisadi yote yamekimbia, pia alipokuwa karatu, amesikia...
ni kiboko kweli anafaa kuish majini na sio kuwa rais, et anaahidi kiwanda cha nanasi wakati nanasi zenyewe haba, kiwanda cha kusindika nyama na ng'ombe atawatoa wapi au tutasindika nyama za tembo na twiga, nch znazosindika nyama wanaufugaji wa wanyama kwa lunch, anaropoka tu huyo castle lager wenu.
acha uji..nga kwan ndugu zako waliotangulia mbele za hak nao unasikia walimkashfu lowasa' haukuelewa ngoja tukupe somo, waliotangulia huku waktajwa kuwa walimkashfu lowasa ilisemwa tujifunze kuwa usimtukane mtu kwa afya yake, wote hatujui cku wala saa. halafu ww una element z kiccm hv.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.