kwa nini wamepigwa risasi?Zipo habari kuwa wanachama watatu wa chadema wamepigwa risasi na polisi leo mchana huko shirati, wakati wanampokea msafara wa mgombea ubunge wa chadema bw Owawa, wote wako hospitali ya shirati na wawili hali zao mbaya.
Rafiki,hawa ndugu ni WaTanzania kama wewe na mimi. Huyo alolala hapo anatishirt inanembo ya twiga. Ni raia wenzetu.
Rafiki,hawa ndugu ni WaTanzania kama wewe na mimi. Huyo alolala hapo anatishirt inanembo ya twiga. Ni raia wenzetu.
Polisi na vyombo vya dola na watanzania wote,tukumbuke sisi ni taifa moja.Siasa ni namna ya kujitawala.
Wakati mwingine Hekima itumike. Mbona wafuasi wa UKAWA hawajawahi kumpiga mtu? Ninyi polisi na CCM ni amani ipi mnaihubiri ilhali ni nyie waanzishaji wa vurgu na mauaji?
icc sio mahakama ya makosa ya kipumbavu na kilofa. tutabanana menyewe kwa menyewe.ICC is watching!