Recent content by ngunhila ng'ombe

  1. N

    Saed Kubenea: Ndumilakuwili mbobezi

    mizoga ya zitto kabwe inatoa mapovu.
  2. N

    Mgombea udiwani wa Ccm kata ya Mahina wilaya ya Nyamagana Mwanza hafai.

    huyo jamaa ametumia hela nyingi sana kuwabebeleza wafanyakazi wake wajiandikishie eneo la shule yake. kwa kifupi hatuitaki ccm hata akijikojolea
  3. N

    Kuanzia sasa sitatazama ITV

    wakati unaanza kuangalia mbona hukututarifu!. kwenye kuacha ndiyo umeona kuna umuhimu. anyway mimi nilikuwa cjui kama huwa unaangalia ITV.
  4. N

    Mdahalo Urais CCM wapambane hawa kupata mgombea bora atakaye pambana na UKAWA.

    mizengo pinda atajibu nn kwenye mdahalo. ccm haikubaliki
  5. N

    Yanayojiri bungeni Dodoma leo tarehe 27 Mei, 2015

    hivi mbunge yule viti maalumu wa maswa na mkuu wa wilaya aliechangia mwanzo ni nani?? maana amesema barabara ya mwigumbi to bariadi tayari imeshaanza. nipeni jina limenipita plz
  6. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    unajidanganya. hayo yalikuwa zaman. sasa hivi kama huna 150,000 hulazwi.
  7. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    bugando ni wezi sana. Miconazole cream dawa ya fangasi inayouzwa bei ya jumla 700 mjini maduka ya famasi wanauza 1500. bugando wanauza 3500 bila huruma hao wakatoliki. kama huamini nenda ukajionee hata ile famasi ya nje tu getini. hispitali ya umma kupitia kanisa inakuwa ya wizi...
  8. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    bugando ni wezi sana. Miconazole cream dawa ya fangasi inayouzwa bei ya jumla 700 mjini maduka ya famasi wanauza 1500. bugando wanauza 3500 bila huruma hao wakatoliki. kama huamini nenda ukajionee hata ile famasi ya nje tu getini. hispitali ya umma kupitia kanisa inakuwa ya wizi...
  9. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    kama huamini tafuta mtu yeyote alielazwa hapo uone mziki ulivyo. Tatizo lako ukatolik unakusumbua.
  10. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    nilikuwa nakuweka sawa. ndiyo majadiliano hayo mkuu. kwa kifupi bugando imeoza kwa sasa.
  11. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    bora umeliona hilo mkuu. saluti kwako. waumini wakatoliki hawataki kusikia hilo la askofu wao. imani ni bangi kwakweli
  12. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    wewe huwa unabisha wakati hata kuchoma sindano haujui. unafikiri inshu ya bugando ni hbr ya kusafirisha madawa na akina diamond. kuwa na adabu unapoona wanaume wanaojua vitu wanachangia kuliko kuketa kimbelembele wakati hujui hata bugando wanapewa ruzuku ya shilingi ngapi kwa mwaka.
  13. N

    Gharama za matibabu Bugando zinatisha, Serikali haitoi ruzuku?

    bado unaamini kuna serikali ya kujali wananchi??? ungejua kuwa hili bango sasa hivi halionekani limefichwa. mode kwann mnatufanyia hivyo au mkurugenzi wa bmc ni mjomba wako??
Back
Top Bottom