Acha matusi wewe naona hata thinking capacity yako iko extremely low!Huwezi ukatukana wananchi wa kitongoji wote! Umekosa adabu na heshima mpuuzi wewe! Hivi wewe ni mtanzania kweli? Huna maadili kabisa and in other words you are an empty nutshell!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye namba ya waziri wa nishati Tanzania naomba anipatie ni muhimu sana.
Wananchi wa VIZIKO kijiji cha Kikongo tunateseka sana umeme tunabaguliwa bila sababu za msingi!
Sasa hata kama una ndoto za kilimo cha umwagiliaji zinatoweka kabisa! Inakatisha tamaa! Miradi inafanyika kwa viporo...
Hizi ndio unnecessary contradictions katika utekelezaji wa miradi!
Report itaandikwa kuwa Kikongo tayari iliishapatiwa umeme through mradi wa Peri Urban!Hii itamaanisha kuwa hata vitongoji vyake vyote vimenufaika na huo mradi! Hivi kweli ni nguzo ngapi zilizobaki in order to cover kitongoji...
Namba yangu 0629594321
Na nimeisha fika ofisi ya kata Kikongo nasubiri majibu toka kwa mwenyekiti na kama majibu hayataridhisha tuweze kwenda mbele maana huu ni ubaguzi! Vijiji na vitongoji vyote vinavyotuzunguka vitakuwa na umeme isipokuwa chetu!Kwa kweli haiingii akilini!
Nimeenda jana ofisi za ya kata ya Kikongo baada ya kuona nguzo zimemwagwa nyingi sana huku mafundi wakisimika nguzo na kufanya wiring kwa kasi! Niliongea na mwenyekiti akapokea hiyo changamoto akaahidi kwamba atanijibu baada ya kuwaona wahusika!
Napatikana kwa simu 0629594321
Lalamiko langu kwa TANESCO
Hivi inawezekanaje kitongoji cha VIZIKO kilichopo KIKONGO wilaya ya Kibaha Pwani kibaguliwe au kusahaulika kuletewa nguzo za umeme? Survey iliishia bondeni daraja la mwendo kasi na sasa hivi wenzetu wa chekeleni wanawekewa umeme na wakati wote tuliomba wakati mmoja...
OMG....Can it happen that M7 and his gang read this article and get deeply touched,feel the pinch thereafter embark upon magufulication?????It will be wonders........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.