Mtu hauwezi kuamka ukaenda kwenye kuandamana Kwanza unaandaa shibe yako ili ukiandamana ni mwanzo mwisho Nb nimekutana na kifaru maeneo ya Ubungo sasa sijui wanainchi nao Wana siraha au
Huyo unaweza kubishana naye Kwa akili yake inavyowaza unaweza Sema Chasambi kwenye mechi muhimu anacheza ile nafasi je hamza unaweza kumuanzisha namba 6 ikiwa Nje Una watu wa maana hata Yanga wenyewe wamejua ule ni uongo wa kocha nao wanajiandaa
Nenda Malawi na Zambia mi huko nilikuta mganga anatumia bible kupiga ramli hivyo kwenye hizi dini kuna namna Ipo sie ambao hatuzijui kuna vitu tumefichwa
Dah Sema mabinti siku hizi wamehalibika Sana kuna siku nipo shambani kwangu mkoa wa pwani wanafunzi wanapita mazungumzo Yao ni kuwa kuna mwalimu anamtaka mmoja wao halafu mwalimu mwenyewe kibamia,niliishia kusikitika sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.