Recent content by Nguku Wakabange

  1. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Tupeane connection za mashamba/viwanja vya gharama nafuu

    Habari zenu wana JF, Natafuta shamba maeneo ya Kisarawe au Kibaha Vijijini, naomeni mwenye kujua upatikanaji wake aniunganishe na wadau. asanteni
  2. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa laki 5 unaweza fanyia biashara gani kwa Arusha

    nami nasubiria aidia hapa
  3. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Wakulima Jiandaeni Kisaikolojia na Kuporomoka Kwa Bei ya Mahindi Mwaka huu 2023, Kenya Gunia la Mahindi Imeshuka hadi Tsh. 80,000

    Kuhusu mazao kukosa bei huyu jamaa anaota ndoto ya mchana, maeneo mengi mwaka huu ukame umeharibu mazao sasa sijui huyu anakaa nchi ipi maana hata angekuwa anakaa mjini angeona hali halisi ya hewa
  4. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!

    kwakweli mwaka huu tutafia shambani kwa stress
  5. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Kati ya mahindi na alizeti kilimo kipi kinalipa?

    Tuko bize saivi tunapanda zetu pia Tunapalilia, wew tuachee kwanza tutaongea badae
  6. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Kaskazini kwa sasa hapafai kwa Kilimo kabisa

    Baada ya kutenganisha mkoa wa Manyara kutoka Arusha historia ya kilimo iliishia hapo maana Manyara ilikuwa inabeba Arusha, kuhusu uzalishaji wa mazao ni mwaka huu tu ukame ulikuwa mkubwa. Kuhusu bei ya Ardhi ni kweli mikoa ya Kazkazini ardhi haishikiki kwa bei lakini pia bei ya mazao iko juu...
  7. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Nipo hapa uwanja wa fisi manzese natafuta mke

    Inabidi umruhusu akikumbuka kuliwa kwenye hizo viwanja vyake ili aongezee kipato cha familia
  8. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe kauli tata za viongozi mbalimbali duniani

    Si mlimchagua BWEGE sasa awajengee stendi-JPM akiwa pale Kilwa:confused::confused::confused:
  9. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia imekaaje kumpenda mke wa mwenzako?

    Unajua watu wanafanya haya maisha yawe magumu; wanaume tunatakiwa kupunguza wivu ati sababu hata akipeana na mtu K haitaisha wewe cha msingi ni kumwambia asijeshika mimba ili usijelea mtoto wa mtu. kuchakatana nadhani tungewaachia wanawake waamue tu kama kama kunanjaa wake anataka kumsponsor...
  10. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Mbegu zipi za mahindi za DK zinafanya vizuri?

    hapo kuna kitu nimejifunza
  11. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    unajua wew jamaa ni hewa kabisa, unajua wew hauelewi kitu yeyote. haujui hata vyanzo vya mapato ya serikali na kutokana na hivyo vyanzo ndo mnalipwa nyie wajinga mlioajiriwa
  12. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Wew unaona unalipa kodi? payee ya 3% sijui 6% nayo ndo kodi unayoongelea? acha ujinga wako huko
  13. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Unajua ukiwa unafikira hafifu utamwona huyu jamaa kaongelea bonge la point. kwani huyu mfanyakazi mshahara anayelipwa serikali imepata pesa wapi? kodi ya 18% ya mshahara wake ndo itamlipa yeye? kiasi cha VAT anayokata ni ndogo kujilipa ndo maana tunasema analipwa na kodi zetu tena inaonekana wew...
  14. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Kutoa tip yani asante ni muhimu tena kwa kile mtu amefurahi nayo ila kwa hawa watu wa TANESCO wanadai mpaka kero tena wanakupangia kiasi cha kutoa. hawajui huyu anayeomba kuunganishiwa anahaso kuliko hata wao hambao wanalipwa na kodi zetu yani wanadai utafikiri huwa hawalipwi mshahara hata...
  15. Nguku Wakabange

    JamiiForums Tanzania Mbegu zipi za mahindi za DK zinafanya vizuri?

    Asante kwa ushauri mkuu
Back
Top Bottom