[05/07, 07:37] Victor Maleko: Update on Developments in Tanzania
04 Jul 2017
Acacia announces that today Notices of Arbitration were served in Tanzania on behalf of Bulyanhulu Gold Mine Limited (“BGML”), the owner of the Bulyanhulu mine, and Pangea Minerals Limited (“PML”), the owner of the...
twaweza walisema wanaoshabikia ccm ni wazee,maskini,watu walio vijijini na hasa wale wenye elimu kuanzia la 7 kushuka!!usistaajabu ya hao walioandamana kumpongeza na kuomba aongezewe mda!!!maana hata katiba hawaijui!!mtaji wa ccm ndani ya hili taifa ni UJINGA
me nashindwa kuelewa ni kwa nini tundu lissu anasimama pale bungeni na kuwaambia tena kwa kijiamini kuwa report zote 2,hle ya prof.mruma na mwenzake ni fake na rubbish alaf sioni MTU yeyote wa serikali hta uyu palamaganda cjui au uyo mruma mwenyewe aliyejaribu kumjibu wamekaa kimya!!that means...
bunge la sasa sioni umuhimu wake tena hasa hasa kwa uyu job ndugai kupitia wabunge wake wa ccm!!sioni tena check&balance maana limekuwa msemaji wa serikali badala ya kuwa kuisimamia serikali!!yani juzi nimeshuhudia mbunge mmoja ambaye sio waziri wala nini anadiriki mpk kusema sisi kama...
tatizo co kama tunashabikia haya mauaji hla hapa tunataka jeshi letu la police liache siasa na propaganda lifanye kazi!we ameanza kuuliwa RAIA wa kwanza mpk nw 37,achilia mbali polisi wenyewe!!lakini kila cku watu wanashinda kwenye press na kupokezana na kupishana uko kibiti na ma v8 yao...
how far are we sure kweli kulikuwa na majibizano ama so jamaa walikuwa na silaha!!hizi nyimbo majibishano ya polisi tumeshashuhudia watu wengi sana wasio na hatia kwa kutumia hii swaga!!cha ajabu ktk hayo majibizano yao hakunaga hta askari utakayesikia kalengwa hata kidole!!!mh watu wangu...
duh hapa nadhani ndio tunaenda kuchochea moto zaidi!!!na wasi wasi sana na awa waliouliwa kama kweli ni wahusika halisi!!tusije umiza watu wasiohusika hili mradi tuuridhishe umma!!hizi ni roho za watu jamani!!tujiakikishe!!maana hizi kauli za wanahoisiwa alaf roho zishtoka!!!mh!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.