HIVI HII TAKUKURU KWELI IPO? OR CHANGA LA MACHO TU ?OR KUNA WATU WENGINE WAPO JUU YA SHERIA HUKU KATA YETU YA MWANDEGE WILAYA YA MKURANGA MKOA WA PWANI KUNA MGOMBEA UDIWANI WA CCM ANAITWA MPEMBA ANAGAWA PESA KAMA NJUGU
hakun mimba hapo nikucheza na P2 tu wife anazijulia sio plyastation hio..now nipo out naangaliwa na migomba na mihogo nimefata network naperuzi JF...town ni May jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ukiipata ni ya kwako na familia yako..Why nisubirie lock down ya kutangazwa..wallahyi toka jmatano nipo home na watoto na wife..na kilo za super kyela, mkaa,gas, Kuni, out tembele na majani ya kunde yanakuja vizur na hizi mvua.
Mwendo ni kudownload movie kupitia Torrent kula na kulala...
Hio south Africa mpka leo aijawai kureport vifo hata vya watu 10 kwa siku iwe Dar es salaam ndio ije kuripuka? Corona ipo ila Tusitishane Jidu La Mabambasi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna kinachoshindikana ktk hii Dunia kwa mawazo yangu Dunia ya sasa vita ni mikakati kama hii kuliko vita ya mabomu na vifaru
Sent using Jamii Forums mobile app
lemutuz_superbrand ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE!: ....FREE EDUCATION from MR. SUPERBRAND! ....Jana China imekubali kuisaidia Dunia na hasa USA kupambana na Coronavirus ambayo China iliyoanza na huu Ugonjwa wa hatari sana Wiki Tatu zilizopita sasa inasimama Duniani kama ndiye Mshindi wa kwanza...
NANI HAPA AJWAI KUUMWA MAFUA,KUKOHOA,HOMA hayo magonjwa tumeshaumwa sana sisi kuanzia utoto mpka ukubwani ni ivyo tu atukujua km ni Corona.. SISI ATUFI KM WAO WANAVYOKUFA INSHORT WATAKUFA WAO TU HATA HAPA HAPA WATAKUFA WAO TU SISI ATUFI AMINI NAKWAMBIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikujibu ktk list ya wagonjwa walotangazwa jana wanaume wawili wenye miaka 40 ni Mwana Fa na sallam_sk...Tangazo la wizara alikutaja majina option ya kujitangaza wamepewa na wizara na haji manara yupo njian anarudi nae tutajua ni postv or negative...ni kweli ugonjwa upo ila autishi km hofu...
Sisi wa daladala atupati corona watapata hao hao wavaa mask na wanaokimbilia masuper market sijui kununua sabuni..mimi asubhui nimekunywa supu wa mapupu mchana ugali matembele jioni hii nimepiga nyeto hio Corona itawafata nini hapa hapa? Huku mtaani mwizi tunampiga mpka na nondo za kichwa ila...
Wakati na miaka 17 nimeshawai kuingia gereza la keko nikitokea mahakamani kisutu.tulipofika keko kabla ya kwenda ktk selo tulivuliwa mikanda na viatu na nguo zote mpka chupi tukaambiwa tuchuchumae wote (wakiwa na mashaka na wew umebeba kitu ktk pocket (mkunduni) unapewa mtondoo (ndoo ya chuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.