Zamani tulivyokuwa wadogo
Mdingi alikuwa anatupakia ktk gari yake Toyota pickup
Tunapakia kule nyuma watoto wa mtaani na majirani wote
Tunakwenda saba saba
Jioni tunarudi na Sabuni za komoa na mafuta ya Asante Moproko na maziwa ya Unga ya Cowbell
2026 SABA SABA
Tunafungia watoto wetu ndani
🤔
HIVI HII TAKUKURU KWELI IPO? OR CHANGA LA MACHO TU ?OR KUNA WATU WENGINE WAPO JUU YA SHERIA HUKU KATA YETU YA MWANDEGE WILAYA YA MKURANGA MKOA WA PWANI KUNA MGOMBEA UDIWANI WA CCM ANAITWA MPEMBA ANAGAWA PESA KAMA NJUGU
hakun mimba hapo nikucheza na P2 tu wife anazijulia sio plyastation hio..now nipo out naangaliwa na migomba na mihogo nimefata network naperuzi JF...town ni May jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ukiipata ni ya kwako na familia yako..Why nisubirie lock down ya kutangazwa..wallahyi toka jmatano nipo home na watoto na wife..na kilo za super kyela, mkaa,gas, Kuni, out tembele na majani ya kunde yanakuja vizur na hizi mvua.
Mwendo ni kudownload movie kupitia Torrent kula na kulala...
Hio south Africa mpka leo aijawai kureport vifo hata vya watu 10 kwa siku iwe Dar es salaam ndio ije kuripuka? Corona ipo ila Tusitishane Jidu La Mabambasi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna kinachoshindikana ktk hii Dunia kwa mawazo yangu Dunia ya sasa vita ni mikakati kama hii kuliko vita ya mabomu na vifaru
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.