Recent content by Ngovongo

  1. Ngovongo

    GE2020 Meneja Tehama Clouds Media achukua fomu CHADEMA kuwania Udiwani

    HIVI HII TAKUKURU KWELI IPO? OR CHANGA LA MACHO TU ?OR KUNA WATU WENGINE WAPO JUU YA SHERIA HUKU KATA YETU YA MWANDEGE WILAYA YA MKURANGA MKOA WA PWANI KUNA MGOMBEA UDIWANI WA CCM ANAITWA MPEMBA ANAGAWA PESA KAMA NJUGU
  2. Ngovongo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
  3. Ngovongo

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    hakun mimba hapo nikucheza na P2 tu wife anazijulia sio plyastation hio..now nipo out naangaliwa na migomba na mihogo nimefata network naperuzi JF...town ni May jamani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Ngovongo

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Corona ukiipata ni ya kwako na familia yako..Why nisubirie lock down ya kutangazwa..wallahyi toka jmatano nipo home na watoto na wife..na kilo za super kyela, mkaa,gas, Kuni, out tembele na majani ya kunde yanakuja vizur na hizi mvua. Mwendo ni kudownload movie kupitia Torrent kula na kulala...
  5. Ngovongo

    Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula

    Hio south Africa mpka leo aijawai kureport vifo hata vya watu 10 kwa siku iwe Dar es salaam ndio ije kuripuka? Corona ipo ila Tusitishane Jidu La Mabambasi, Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Duh Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Mkuu yote yanawezekana vita ni vita muraaa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Mkuu hakuna kinachoshindikana ktk hii Dunia kwa mawazo yangu Dunia ya sasa vita ni mikakati kama hii kuliko vita ya mabomu na vifaru Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Ni kwamba aminiki kiasi icho [emoji23] issue ya corona kuna anayeaminika mkuu kila mtu anaongea na haya mawazo yake Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kwa hio hoja zake azina maana tulichambue shati lake tu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Ngovongo

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    lemutuz_superbrand ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE!: ....FREE EDUCATION from MR. SUPERBRAND! ....Jana China imekubali kuisaidia Dunia na hasa USA kupambana na Coronavirus ambayo China iliyoanza na huu Ugonjwa wa hatari sana Wiki Tatu zilizopita sasa inasimama Duniani kama ndiye Mshindi wa kwanza...
  12. Ngovongo

    Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

    NANI HAPA AJWAI KUUMWA MAFUA,KUKOHOA,HOMA hayo magonjwa tumeshaumwa sana sisi kuanzia utoto mpka ukubwani ni ivyo tu atukujua km ni Corona.. SISI ATUFI KM WAO WANAVYOKUFA INSHORT WATAKUFA WAO TU HATA HAPA HAPA WATAKUFA WAO TU SISI ATUFI AMINI NAKWAMBIA Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Ngovongo

    Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

    Nikujibu ktk list ya wagonjwa walotangazwa jana wanaume wawili wenye miaka 40 ni Mwana Fa na sallam_sk...Tangazo la wizara alikutaja majina option ya kujitangaza wamepewa na wizara na haji manara yupo njian anarudi nae tutajua ni postv or negative...ni kweli ugonjwa upo ila autishi km hofu...
  14. Ngovongo

    Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa zaidi

    Sisi wa daladala atupati corona watapata hao hao wavaa mask na wanaokimbilia masuper market sijui kununua sabuni..mimi asubhui nimekunywa supu wa mapupu mchana ugali matembele jioni hii nimepiga nyeto hio Corona itawafata nini hapa hapa? Huku mtaani mwizi tunampiga mpka na nondo za kichwa ila...
  15. Ngovongo

    Magereza yafafanua kuhusu kauli ya viongozi CHADEMA waliotoka Segerea kwamba Waliteswa na kunyanyaswa

    Wakati na miaka 17 nimeshawai kuingia gereza la keko nikitokea mahakamani kisutu.tulipofika keko kabla ya kwenda ktk selo tulivuliwa mikanda na viatu na nguo zote mpka chupi tukaambiwa tuchuchumae wote (wakiwa na mashaka na wew umebeba kitu ktk pocket (mkunduni) unapewa mtondoo (ndoo ya chuma...
Back
Top Bottom