Recent content by Ngoshera

  1. Ngoshera

    Kiongozi wa CWT - Maswa ni kiongozi wa CCM. Je, ataweza kutetea maslahi ya walimu?

    umenichekesha sana@buccaneer Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
  2. Ngoshera

    Miaka 30 ijayo Tanzania itakuwa na idadi kubwa ya wazee masikini

    umenichekesha sana@buccaneer Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
  3. Ngoshera

    Huduma ya Airtel Money inasumbua, ukipiga huduma kwa wateja mtandao haupatikani

    Katika mitandao yote,airtel inaongiza kwa ubovu hasa huduma kwa wateja ni zeeeeeeeeroooooo
  4. Ngoshera

    Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule nyingine

    Da! umetaja mwl Mpande umenikumbusha mbali saaana kwa kwa dada Asha!!!
  5. Ngoshera

    Serikali ipige marufuku utazamaji wa tamthlia hapa nchini

    wakijua majina ya viongozi ndo itapunguza ugumu wa maisha yao!!!?????
  6. Ngoshera

    DOKEZO Malipo ya nauli za watumishi kubadilishwa matumizi Tandahimba

    Si walusema walishaandaa mfumo!?? hazina si iwe inaweka tu kwenye A/c ya mtumishi moja kwa moja.
  7. Ngoshera

    Mwanaume mzima unaishi Nyumba ya kupanga?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Ngoshera

    Mbeya: Amuua Mke wake kwa Kumchinja na kuutupa mwili wake Mtoni

    Kinachosababisha sometimes,ukute mke umemwoa ukiwa na mali mkiachana sirikali inataka mgawane pasu!!!!!
  9. Ngoshera

    Walimu wapewa Vishikwambi kwa kubaguliwa

    kishkwambi hakirahisishi chochote,maana hata ukiwa na materials kwenye soft copy wanakataa mpaka uandike kwa mkono
  10. Ngoshera

    Walimu wapewa Vishikwambi kwa kubaguliwa

    mimi hata sihitaji sim inanitosha,isije kuwa kusimangwa kila siku kisa kishkwambi
  11. Ngoshera

    Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

    Hujawahi kuona mtu mitihani anapiga A zote but ukimwambia akufundishe hajui kielekeza na mwingine anakufundisha fresh tu but mtihani unampiga fimbo?
  12. Ngoshera

    Gari gani la milioni 4.5 linafaa kwa barabara za kijijini?

    Ketembelea almost 2km kwenda kazini na kanisani,mara moja moja sana kwa mwaka kwenda home about 233km.
  13. Ngoshera

    Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

    Na akienda mahakamani sheria inasema mtoto kuanzia miaka saba anaweza kaa na baba yake,hvo utaambiwa kama umeshindwa kukaa nae mpeleke kwa baba yake.
  14. Ngoshera

    Kwanini amri ya kunyongwa ni mpaka Rais apitishe?

    Ndo maana Magu kipindi kile cha kuziia safari alisema kuna mzizi umeenda chini zaidi ya mingine
  15. Ngoshera

    Mjadala Huru: Kwanini Mabenki yanafungwa Saa 10 na Masoko yanafungwa saa 12.30 badala ya kufanya kazi saa 24?

    Hapa KAHAMA Kuna tawi la NMB linaitwa NMB BUSINESSES CENTER wanafunga saa Moja jioni. Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom