Mungu akutie nguvu sana maana. Ukizingatia yeye ndio alikuwa mtu wa karibu kwako.kikubwa mungu ailaze mahali pema roho ya bi. Mkubwa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hakika,mwamba utabaki kukumbukwa na watu masikini,acha hawa wanaotumia muda mwingi kuandika vitu vya kukuchafua lakin kwetu ss huna baya ulilotenda mwana wa afrika.
Natumaini mko vizuri mnapambana kutafuta riziki
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Leo trh 23 aug 21 kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar imetoa maelekezo ya kuanza kutumika kwa mfumo wa ulipaji gharama za kupaki magari kwa njia ya kielectroniki ambapo mitandao yote...
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza...
Hapana yule alikuwa kaka yake na alikua operation kamanda ,kabla ya oparation kifanyika alijua kabisa yeye atakufa maana kabla ya operation walifanya rehersal ikaonekana kuna watu watapigwa risasi akiwemo yeye
Nianze kwa kuwatakia Jpili njema wote.
imekuwa miaka 5 tangu nikutane na rafiki yangu ambae sasa ivi amekuwa kama ndugu yangu wa karibu sasa. Amekuwa msiri sana katika mambo yake ya mahusiano; kiufupi sikuwahi kumuona ana-date na mwanamke. Hii nikajua ni kutokana na malezi ya wazazi wake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.