Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,311
Bongo muvi na Bongo fleva mnatia aibu sana. Wengi wenu hamna akili za kuintegrate na kuchambua issues za ulimwengu huu.
Unapataje guts za kutweet #endSARS wakati serikali iliyofanya mauaji ina urafiki na serikali yako, wakati wewe mwenyewe upo upande wa serikali yako?
Leo na kesho serikali yako ikitoa tamko la kusimama upande wa Buhari utaficha uso wako wapi wewe Kiba? Kwa nini usitoe tamko kuitaka serikali yako ikemee kinachoendelea Nigeria?
Acha tuendelee kusikiliza muziki wa kinigeria tuu. Wasanii wa bongo zero kabisa.
Unapataje guts za kutweet #endSARS wakati serikali iliyofanya mauaji ina urafiki na serikali yako, wakati wewe mwenyewe upo upande wa serikali yako?
Leo na kesho serikali yako ikitoa tamko la kusimama upande wa Buhari utaficha uso wako wapi wewe Kiba? Kwa nini usitoe tamko kuitaka serikali yako ikemee kinachoendelea Nigeria?
Acha tuendelee kusikiliza muziki wa kinigeria tuu. Wasanii wa bongo zero kabisa.