Ukulu ipi unazungumzia maana ile ya magogoni wananchi wanaojitambua tyr wamechagua....
Nendeni mkaanzishe ya kwenu uko northern rhodesia😆😆😆
Huku na yy akijua ni mr.zero
na pia anataka tena awe kiongozi maana maneno yke mwenyewe kasema ukahawa hawana uzoefu..yy ameenda kutumia uzoefu wake ambao unajulikana kwa ubazilifu na unyonyaji..
Nikiona hizi kauli ambazo leo hawa chagadema wanazifumbia macho wakt wao ndo walituaminisha huo ukweli leo tena wanakuja na kauli tofauti....nikiona haya nasema trh 25oct...nitapigia alam ya kijani kuanzia diwani mpka rais bila kusoma ata majina.#teamjpm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.