Mimi nimeoa mke asiye mtumishi wa umma kwa mshahara wangu tunaishi vizuri tu Hadi ninawakopesha wenzangu tunaofanya kazi pamoja na wake zao watumishi wamenizidi mshahara ila katikati ya mwezi wanakuja kukopa kwangu na dukani kwa wife.Life it's all about planning and simple goals setting!
Mkoa wa Songwe imetolewa amri kwa watumishi wote lazima wajiandikishe Kisha litumwe jina serial namba na kitongoji alichojiandikisha kwaa ajili ya ufuatiliaji asiyejiandikisha atahamishwa kituo Cha kazi kwenda momba,chunya na ileje.
Sasa pesa yetu inaendaga wapi?,Tumevunja rekodi ya makusanyo,Halafu hiyo TASAF haizalishi wanapewa bure walengwa wengi wao wananywea pombe sasa tutalipaje mkopo ikiwa hell haizalishi?
AWAMU YA 5 NYOSO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.