Recent content by NGOMAYAMPWITA

  1. N

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    Mnafiki huyo hafai kuliko boko haram
  2. N

    Sumaye asema mchimba kaburi hachoki lazima amalize

    Mh Sumaye amewaasa vijana nchini kumalizia kaburi hili la kuizika CCM tarehe 25 oktoba 2015 kwani mkisema mmechoka marehemu anakosa haki yake ya kuzikwa salama.
  3. N

    Profesa hospital mirembe awatahadharisha wagombea urais

    Profesa wa wagonjwa wa vichaa hospital ya mirembe amewatahadharisha wagombea urais kuwa wanaohudhuria mikutano yao sio lazima wawapigie kura kwa wingi ule hao ni binadamu watachagua baada kuwachuja msiumie roho mkishindwa kwani mnaweza pata madhara akilini
  4. N

    Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

    Anasema kama mnyika anabisha amuulize mwenzake a malima alichomfanyia kura ya maoni za ccm
  5. N

    Msigwa Atetemesha Iringa kwenye uzinduzi wa kampeni

    Uwi inguluvi nyamalanga haya sio mauaji ya halaiki ila ufufuko wa halaiki
  6. N

    Dr. Magufuli unachekesha sana,mikwara inaonesha usivyo serious

    Mnaompinga inaonekana ni wahasibu wa halmashauri za jiji manispaa mji na wilaya mmeona kawaumbua na kiama kinakuja tu
  7. N

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kina mama kumbe wana nguvu namna hii halafu mnataka 50 50 njia rahisi kuwanyamazisha kina mama hawa turuhusu ushoga watakoma kuingilia mambo ya kiume
  8. N

    Isimani,kilolo na mafinga mjini amsha popo imetua kwa kasi

    Majimbo ya isimani kilolo na mafinga mjini yanakwenda ukawa baada ya wanaccm kuchoshwa na ulagahi wa chama chao kwa wananchi na wamesema sasa popo wameamshwa asubuhi tutawafundisha kazi
  9. N

    Mangula ampa makavu mungai

    Makamu mwenyekiti wa ccm amempa makavu mungai kuwa ana njaa kali
  10. N

    Jm kikwete lazima umkabidhi lowasa kile kiti unachosafiri nacho mikoani

    Kikwete asiondoke na kiti kile anachotumia mikutanani na amkabidhi lowasa
  11. N

    Tunu pinda asema mizengo pinda sio makapi au oil chafu

    Mke wa waziri mkuu aliyekatwa kugombea uraisi asema mume wake sio makapi au oil chafu kama huamini mpe mkeo uone ameyasema hayo kwenye sherehe ya kitchen party ya binti wake
  12. N

    Lukuvi awachambua wizi wa kina sumaye lowasa

    Lukuvi amewaumbua sumaye na lowasa wizi waliofanya ofisini kama mawaziri wakuu
  13. N

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    naona unawatania watumishi wa umma wasipokujibu nitawashangaa sana msimwache huyu mshushieni nondo mnateseka bure kwa kuwa na watu kama hawa
  14. N

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    au kidumu chama cha malimbikizo
Back
Top Bottom