Pole kama nawewe umehamishiwa Dom....Heri ya lawama kuliko fedheha...kiumbe wa kwanza kuongea na shetani na kuelewana alikuwa mwanamke..kwa hiyo utanielewa tu
Wanajamvi
Natafuta mwanamke aliye serious ambaye atakuja kuwa mke mwema kwangu, .Awe na sifa zifuatazo kwa ufupi;
1 Awe mcha Mungu
2.Awe Mkristo ,kama ni muislamu awe tayari kubadili dini
3.Asiwe mfupi wala kibonge .Awe mrefu wa wastani
4. Rangi yeyote.
5.Awe na elimu ya chuo
6.Awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.