Recent content by Ngolombwe

  1. N

    Heshimu sana watu hawa "wanaongea kidogo wanasikiliza sana"

    Hata Mimi nimefanikiwa kushawishi watu wote kwenye familia yangu, tutampigia Lowassa, house girl wangu na mama mzazi walitaka kumpigia Magufuli lakini bahati nzuri wote wawili ni wasomi walipomsikia akisema Saddam Hussein ni Rais wa Libya wakaanza kuingia mashaka na uwezo wake, na siku...
  2. N

    Huyu Lowassa si mtu wa kawaida, sasa nimeamini

    Aisee nilitamani sana kujuwa hali ya kisiasa huko ilivyo, Mimi ni mtu Mbesa ambaye nimetoka huko kitambo sasa, vipi hali huko mabadiliko haya yamepokelewaje?
  3. N

    Mgombea ubunge Nanyamba kupitia CUF ashindwa kurudisha fomu, CCM wapita bila kupingwa

    hiyo si habari ya kweli ukawa wamewakilishwa na cuf na inshallah tutashinda
  4. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Ndugu yangu si nia yangu kubishana na wewe juu ya kuijuwa Biblia, kwani nina uhakika hunifikii hata kwa nusu tu kwa upande huo, na pia sikuandika maada hii ili kupotosha Biblia kwani hiyo ni mamlaka pekee ninayoiamini na kuitegemea toka utoto wangu, halafu kusudi langu kubwa ni kuwasiliana na...
  5. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Dr. Slaa hajawahi hata mara moja kusema kuwa anata kugombea Urais, tena nakumbuka siku moja alisema hana tamaa ya Urais, kuna jambo linamtatiza juu ya ujio wa Mh. Lowassa, tusimsemee, bali tumwombee kwa Mungu ili afanye uwamuzi wa busara, binafsi nitafurahi sana nikimuona kwa macho yangu akirudi...
  6. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Mh. Dr Slaa, jana niliandika humu jukwaani nikikuomba sana ujitokeze na kutoa msimamo wako juu ya haya yanayoendelea, ninajuwa kuwa wewe si mtu wa tamaa ya pesa, wala si mroho wa madaraka tena si mtu wa nia mbili na kwa kweli lazima niseme japo hili la mwisho ninalotaka kusema ndilo...
  7. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Huwa sina tabia ya kuweka topic yoyote kwenye jukwaa hili na pia hata nikiweka ni kwa mambo ya kawaida tu, ila leo nimelazimika kuandika ujumbe huu na kuuweka humu jukwaani, kwani ninaamini kwa dhati ya moyo wangu kuwa hii ndiyo njia pekee kwa mtu wa kawaida kama mimi ya kuwasiliana nawe...
  8. N

    Kauli hizi za Magufuli

    Habari za siku wanajukwaa hili, tangu ndugu Magufuli aanze mbio za kuusaka Urais kwa tiketi ya ccm amekuwa na kauli ambayo haachi kuisema kila anapohutubia, "SITAWAANGUSHA" , nimekuwa nikijiuliza sana huwa anawaambia nani hasa? na maana yake hasa ni nini?. Najaribu kuuangalia mfumo nzima wa...
  9. N

    Ni ofisi gani ya Serikali uliwahi kupatiwa huduma mbovu na majibu ya dharau?

    uhamiaji makao makuu ni rushwa, rushwa, rushwa, kuna yule ofisa wa passport za Urgent, yule jamaa mweupe hivi na anavaa miwani, pamoja na watendaji wote pale kila mtu anashindana kupokea rushwa na mwenzake, yaani sisi tumekosa kuhudhuria mkutano muhimu sana kisa ni kutotoa rushwa tu...
  10. N

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    ukitaka data nenda mwenyewe pale nssf kajionee tu, au fanya utafiti mdogo tu tafuta vijana kumi wa dini hizo mbili walioajiriwa pale na uwaulize dini zao na mwaka walioajiriwa utashangaa sana na matokeo ya kautafiti hako kadogo, lakini pia ninashangaa sana ninyi mnapolalamikia madhehebu ya...
  11. N

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    sioni hoja yeyote katika haya unayoyasema, Dr. Slaa ametusaidia kutupa historia sahihi ya jambo hili kwa vile wakati linatokea yeye alikuwa kiongozi wa dini, sasa si kiongozi wa dini ni mwanasiasa mwenye mtizamo wake, wewe unajaribu kuonyesha kama vile Dr. Slaa ni kigeugeu kwa malengo ya kisiasa...
  12. N

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    kwa hali yeyote wewe ama huelewi kirahisi, au mpotoshaji wa makusudi, au mchonganishi alipwaye, au mchumia tumbo asiyeshiba. Dr. Slaa kama Mtanzania mwenye kufahamu jambo hili kiundani na ambaye anaipenda nchi yake na mzalendo kwa Taifa lake hawezi kuacha jambo la hatari katika nchi lijisogeze...
  13. N

    Dk. Willibroad Slaa amemtembelea nyumbani kwake Sheikh Abubakar Zuberi

    nadhani sasa akili inakujia kuwa Tanzania inahitaji sana wacha Mungu kama Dr Slaa ili taifa ili lisipoteze rasilimali zake kama twiga, na madini yetu ambayo maprofesa wa kichina wanazidi kuyatorosha tu na wakishirikiana na mafisadi wa reach monduli.
  14. N

    Nape Nnauye tulia, Muosha Huoshwa. Dr. Slaa alisafiri kikazi

    Hata wewe unaweza kuthubutu kuitetea ccm? huko kwako nakapanya toka Mungu ameiumba dunia hii hakujawahi kuwa na lami, kituo cha afya, sekondary, wala maji, wewe shukuru Mungu wale wamisionary wa kanisa la Biblia waliokuja pale zamani waliwaonyesha sinema ya Yesu ndiyo walao mkajuwa kuwa kuna...
Back
Top Bottom