Mkuu mbung'o
Wala huna haja ya kulizungumza hili
huyo anayemwambia anatambuwa mwenye zigo la Richmond ni nani,hata watanzania kwa ujumla wao wanatambuwa mwenye zigo la richmond ni baba mwanaisha
kwani Mungu ni mjinga amuoteshe janaba kama li.e ndoto za kutawala tz,ameona haoteshwi akaamuwa kuingia bila kuoteshwa ila naamini ccm watakuwa wamechemka sna kumpitisha huyu mjomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.