Recent content by Ngixolele Umoya

  1. Ngixolele Umoya

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Hiyo sio sukari mama kwamba itaisha , mpe tu si ushakula hela yake, kupewa notice au kuendelea kukaa itategemea na ufundi wako tu
  2. Ngixolele Umoya

    Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

    Ni umalaya wake tu, hakuna sababu nyingine
  3. Ngixolele Umoya

    Huyu binti kanidhalilisha mno! I will revenge

    Hata wa elf 10 huwa hatuendi hivyo mkuu! Ile ni pombe
  4. Ngixolele Umoya

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Mtoa mada angalia vizuri na hili jina Maxence Melo Mubyazi
  5. Ngixolele Umoya

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Wakola waitu, kasinge bojo, tukashoma nila......! Don't play with haya, hapa Los Angeles tunataka kuanzisha mtaa wetu
  6. Ngixolele Umoya

    Majeshi ya Tanzania (UN) yapo Congo kwa maslahi ya nani?

    Mkuu, usiamini sana maoni ya wananchi hasa kwenye edited videos, kwani hujaona documentaries za kumsifia huyo mrwanda? Hao pia ni wananchi, ni sawa tu ukahoji wananchi wa dodoma kuhusu utendaji wa rais. Maoni ya watu hayapresent uhalisia bali utashi wao, easy to be manipulated, wakisikia kitu...
  7. Ngixolele Umoya

    Majeshi ya Tanzania (UN) yapo Congo kwa maslahi ya nani?

    Hahahahaa ahsante sana mkuu kwa kunifumbua macho, angalau sasa nimepata kitu kipya ambacho nilikuwa sikijui.....wanasema knowing what you don't know is the beginning of knowledge. kwahiyo asante! But hapa hoja sio nani, hoja ni kwanini? kwa maslahi ya nani? hizo ulizoandika hapo juu ni...
  8. Ngixolele Umoya

    Majeshi ya Tanzania (UN) yapo Congo kwa maslahi ya nani?

    Kwahiyo unataka kuaminisha watu kwamba wazungu ndo wanaiba? Then kama wanaiba, UN wanaenda kufanya nini congo? Na ni nani anayeuwa wanajeshi wetu? Ulichokishauri ndicho ambacho yule mtutsi na mtutsi mwenzie sizonje wanachotaka. Simple logic, kwa akili ya darasa la kwanza tu, unataka kwenda kuiba...
Back
Top Bottom