Recent content by Ngetyo

  1. Ngetyo

    Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

    Badae atarudi kuomba msaada kwa watoto kama anao!
  2. Ngetyo

    This is painful

    Elimu + uthubutu + uvumilivu = mafanikio, Je, ajira ni nini? Miaka hii waliyoko shuleni au vyuoni walenge sana kupata maarfa, stadi na ujuzi wa kujiajiri.
  3. Ngetyo

    Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

    Rashid na Festo walipaswa kuwa marafiki lakn wakawa maadui! Dada ana mengi ya kueleza.
  4. Ngetyo

    Ila kuna baadhi ya wanaume wenzetu ni mazoba sana

    Upendo wa dhati huo, samehe 7×70=490
  5. Ngetyo

    Umri wa miaka 68 ndiyo umri sahihi wa kustaafu uenyekiti CHADEMA?

    Kwanini unapinga demokrasia? Mwache agombee wapiga kura wataamua.
  6. Ngetyo

    Baba niruhusu nizae

    Anamuomba baba yake amruhusu kuzaa mbona ni ushetani au wewe baba unam....., anapaswa kumuomba Mungu. Wadada wengi hasa graduates na employees wana choices sana ila umri ukiwapiga teke wanasahau choices wanaanza kukimbilia maombi na waganga🤣🤣🤣
  7. Ngetyo

    Kiukweli umeniangusha mwenyekiti wangu (Mbowe)

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinafanya uchaguzi wa Kidemokrasia baadhi ya wanachama wanalalamika!!! Binadamu atabaki kuwa binadamu!
  8. Ngetyo

    Tuiombee sana CHADEMA

    Hiyo ni ishara ya uhai wa chama na ubora wa wagombea wala haihitaji kuombewa. Kwenye chaguzi panda shuka ni sehemu ya maisha ya siasa, utashangaa baada ya uchaguzi watakuwa wamoja kuliko unavyodhani. Wanachama wanapaswa kusikiliza na kuchambua hoja kwa makini hatimaye wafanye maamuzi sahihi...
  9. Ngetyo

    Nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela halafu shabikieni mpira achaneni na mambo ya siasa

    Siasa ni kila kitu, siasa inaanzia kwenye level ya familia hadi Taifa, bila siasa hakuna maisha. Kwahiyo vijana wanayo fursa kubwa sana tena ya lazima kushiriki kwenye siasa.
  10. Ngetyo

    Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

    Kesho Ijumaa 21.12.2024 ni kesho Ijumaa 21.12.2024!!
  11. Ngetyo

    Intelijensia ya CHADEMA imefanikiwa kumuhadaa na kumuengua Tundu Lissu kwenye nafasi ya Umakamu Mwenyekiti na ile ya Mwenyekiti Taifa kisayansi sana

    Kama TL ni dhaifu kiasi hicho kwanini kelele ni nyingi? Kwanini furaha isitawale kwavile anakuja asiyeogopwa? Acha wala pilipili iwawashe wao!
  12. Ngetyo

    Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

    Pombe siyo hatari sana, pima uwezo wa kichwa chako kabla ya kunywa pombe, usinywe pombe kwa kuiga au kwa sifa. Kama kichwa chako kinabeba bia 2 usikilazimishe kibebe bia 8 kisa umeona kuna kreti za bia zimejaa. Kila kitu tumia kwa kiasi hata chakula ukizidisha kina madhara, wanaume au wanawake...
Back
Top Bottom