Elimu + uthubutu + uvumilivu = mafanikio, Je, ajira ni nini?
Miaka hii waliyoko shuleni au vyuoni walenge sana kupata maarfa, stadi na ujuzi wa kujiajiri.
Anamuomba baba yake amruhusu kuzaa mbona ni ushetani au wewe baba unam....., anapaswa kumuomba Mungu.
Wadada wengi hasa graduates na employees wana choices sana ila umri ukiwapiga teke wanasahau choices wanaanza kukimbilia maombi na waganga🤣🤣🤣
Hiyo ni ishara ya uhai wa chama na ubora wa wagombea wala haihitaji kuombewa.
Kwenye chaguzi panda shuka ni sehemu ya maisha ya siasa, utashangaa baada ya uchaguzi watakuwa wamoja kuliko unavyodhani.
Wanachama wanapaswa kusikiliza na kuchambua hoja kwa makini hatimaye wafanye maamuzi sahihi...
Siasa ni kila kitu, siasa inaanzia kwenye level ya familia hadi Taifa, bila siasa hakuna maisha.
Kwahiyo vijana wanayo fursa kubwa sana tena ya lazima kushiriki kwenye siasa.
Pombe siyo hatari sana, pima uwezo wa kichwa chako kabla ya kunywa pombe, usinywe pombe kwa kuiga au kwa sifa.
Kama kichwa chako kinabeba bia 2 usikilazimishe kibebe bia 8 kisa umeona kuna kreti za bia zimejaa.
Kila kitu tumia kwa kiasi hata chakula ukizidisha kina madhara, wanaume au wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.