Recent content by ngetua

  1. N

    Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

    hizo ni taarifa za uwongo El kaenda Nairobi kupumzika then aje na majibu ya kipi anataka kufanya
  2. N

    Msikiti wa Gaddafi, Dodoma wamshukuru Membe

    msani wa kimya kimya
  3. N

    Msekwa amvaa Nape

    Huyu nape kila ye ni kuharisha tu sijui hilo tumbo lake litafunga lini,many times anazungumza hovyo hovyo tu ila mwisho wake umeshawadia hata ubalozi wa nyumba kumi hata kaa upata
  4. N

    Mwajiri wa Regional Air akimbia wafanyakazi

    mfa maji haishi kutapatapa,ila kutapatapa huko waweza pona au kufa,ila Kampuni husika inakwenda ishilia pabaya sana latest news wamesha anza ajiri wafanya kazi wengine kama kwamba ilicho fanya Hamza a.k.a Mse....alivyo na akili za makalio hata hao anao waajiri hajui background zao kama Lightness...
  5. N

    Mwajiri wa Regional Air akimbia wafanyakazi

    Uongozi nao ni kipaji si mijitu mingine kisa ni pilot tu anapewa ubosi,Kijana kama Hamza a.k.a Mwapachu tena analiharibu sana jina na mzazi wake wa kiume,Hamza hana hata chembe ya uwezo wa kuwa kiongozi,ile dhana ya ile tabia ambayo inapingwa kanisani na misikitini sijui ndio imepunguza uuelewa...
  6. N

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aomba radhi kwa kauli yake aliyotoa kuhusu Lowassa

    kuteleza kwa binadam yeyote ni kawaida na uungwana ni kukiri
Back
Top Bottom