Recent content by Ngete besa

  1. Ngete besa

    PreGE2025 LGE2024 Kwa kipigo hiki cha CHADEMA, Mbowe achia chama kwa Heche kubadili kabisa aina ya siasa ya kufanya hiyo yako haina matokeo tena na haiaminiki kwa umma

    Ww kwa akili yako(sijui kam unayo) unafikir ulikuwa uchaguzi wa haki. Wanaokosea kujaza form how come wawe ni wa upinzani tu.? Wewe unaongozwa na mahaba kwa ccm ila ukweli ni kuwa huu ulikuwa ni uchafuzi sio uchaguzi. Bila jeshi na kura feki mnajua mngeaibika.
  2. Ngete besa

    PDF lawapoteza maboya CHADEMA

    Umeshakuwa sodomized na ujinga wa ccm huwezi ona jema kwa Cdm. Kuuzwa na bandari, masai kuamishwa ngorongoro,uminywaji wa demokrasia,ukatili wa polisi, mambo maovu ya waisojulikana,matumiza mabaya ya mikopo ya serikali,gharama za maisha kupanda,mdororo wa nguvu ya shilling n.k ww huoni lolote et?
  3. Ngete besa

    PDF lawapoteza maboya CHADEMA

    Mboe tena. Unateseka ukiwa wapi
  4. Ngete besa

    PDF lawapoteza maboya CHADEMA

    Kwanza jina lako michewen.. moja kwa moja ni wa kuleee alipotoka chura kiziwi wenu. Umeandika ujinga fala ww. CDM na pdf la kazi gani yani waache kujadili mambo ya muhimu wajadili pdf la chief mzuzuraji! Cdm wana akili sana sio lumumba slaves.
  5. Ngete besa

    Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

    Kwa utani kama huu bonyeza ccm. 🤣🤣🤣
  6. Ngete besa

    Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

    Kuna tofauti. Kiongozi/mwanachama/shabiki yyot wa ccm sio mtu ni jitu. So wakifa hao sio mbaya. Understood?
  7. Ngete besa

    Ushuhuda: Usinunue ardhi yenye makaburi kamwe

    Tulisha kataa vita ya makofi kutumia nuke. We jamaa huna huruma kabisa. 🤣
  8. Ngete besa

    Ya wafuasi wa CHADEMA kumbagua Waziri Masauni kwa uzanzibari wake

    Mtanganyika hayupo? Je ni sahihi. Muunganiko wa nchi mbili. Tanganyika ilikufa lakin Zanzibar ipo.hilo ni sahihi? Hujui mf. Swala la mafuta/gesi sio la muungano hata swala dogo tu la michezo pia sio la muungano. Na Unawezaje kuamini Tanganyika haipo? Ni kufunika kombe tu ila ubaguzi upo wazi...
  9. Ngete besa

    Interview za Tanapa - Arusha

    Ndio waziri husika et?
  10. Ngete besa

    Ya wafuasi wa CHADEMA kumbagua Waziri Masauni kwa uzanzibari wake

    Ni Mzanzibar au sio mzanzibar? Hakuna ubaguzi hapo. Tz n muungano wa nchi mbili zanz na tanganyika.. mwisho wa siku kila mtu ana asili yake. Yule jamaa ni Mzanzibar.full stop. #Tanganyika yetu kwanza #mwalim alikosea sana kutuunganisha na wavaa kobazi
  11. Ngete besa

    PreGE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

    Lucac hata andike utumbo namsapoti maana hawa chawa wa mama akili wametupa wanatumia vikalio kufikiri,tuishi nao tu
  12. Ngete besa

    Nini kifanyike ili tren ya SGR isife!??

    Huu mradi ulishakufa kabla ya kuanza ,ni danganya toto tu hiyo wanafanya. Ila huu mradi hautoboi miaka mitano bila ya kubinafisishiwa mwekezaji. Ni swala la muda tu.
Back
Top Bottom