[emoji23][emoji23]kataa hyo sio sim yako. juzi kuna dem alifuata inbox huko twetter kanichatsha kama masaa mawili akanitumia link kilichonikuta account wamehack. sasa katika kumuelezea wife nikajichanganya kuna mtu alinitumia link inbox. ilkuwa msala ila account nilijaribu kuirudisha...
Mkuu wanaume wengi wanatamani sana jinsia yao ibadilike iwe ke hata ukifuatlia pcha nyingi za kwenye mitandao za nusu uchi au uchi ni wanaume wanapost watumia id ya kike na dp wanaweka pcha ya kike. lakini huwezi kukuta mwanamke anajifanya mwanaume kwenye mitandao.
kikubwa mtoto apone kama bibi kakwambia wewe mtafute doc akupe dawa ya usingizi au ile wanayotumia vibaka kuibia mtaan mpulizie. mtoto apokee uponyaji maisha yaendelee.
Wewe unadhani mwanaume anatelekeza mtoto kama tatizo halipo kwa mama. Kama tunaweza kulea watoto ambao sio wetu iweje tutelekeze watoto wetu. Matatizo mengi yameanzia kwa mwanamke. Hata kiimani tatizo lilianzia kwa mwanamke. Hawa
unatumia nguvu nyingi kuupinga ukweli ila tambua hamna mwanadam anayeweza kutambua moyo wa mwingne au kujua kle cha ndani. Maana kama uwezekano wa kuona ndani ya mioyo ungekuwepo haya tunayojadili hapa yasingekuwepo.
Hongera kwa moyo wako mkuu ila usijilaum kwa msaada uliompa mwache aolewe na wewe endelea na mishe zako. usipokee malipo ya fadhila ulyotenda kwa ngono maana huo msaada wako utakuwa hauna dhamani. kaamua kuolewa mheshim mke wa mwenzio ili na wako aheshimiwe.
Mazingra ninayofanyia kazi hili swala huwa nakutana nalo sana wanawake wengi wanakuja na madai ya kutohudumiwa watoto lakini anapoitwa mwanaume mambo yanakuwa tofauti. Wanaume wengi wanaptia magum mengi kutoka kwa wenza wao lakini wanakaa kimya. Ushauri kwa wanaume wenzangu ukigombana na mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.