wakuu leo kuna rafiki yangu wa kike alisomea unesi leo kapigiwa simu na TAESA wanamshawishi akafanye kazi Saudi Arabia kwani zile nafasi hazijajaaa mpaka leo? Au muamko ni mdogo, kwani walikuwa wanamshawishi kwamba huko hakuna ukatili na kuna mazingira mazuri ya kazi
hiki kizee ni kifia dini aisee majina ya wanafunzi yaliyokuwa yanauzwa ni ya waislamu tu?? hata mimi ya ndugu yangu iliuzwa tena tulikuja kugundua kwamba aliyekuwa anatumia alikuwa anasoma ilboru secondary wewe mzee acha kuwa fala wa kidini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.