Unategemea nini tofauti mkuu?Wengi wao hawajaenda kwenye kozi yeyote ya journalism. Hivyo hawajui ethics zake. Wao kazi yao kutumia kalamu kuuza magazeti yao ya udaku na blogg uchwara. Unaposomea journalism kuna kozi ya law.Katika mengi unayofundishwa ni innuendo,Pia eneo lingine lenye udhaifu...
Inaonyesha wapenzi wa migongo wazi wanapenda kucheza mpira magazetini. Kwani hata timu yao ni hivyo hivyo. Mpira mwingi magazetini. Wakifungwa kimya magazeti yanadoda. Na waandishi wengi wamegundua ulimbukeni huo wa "umemuona mkata umeme anaweza kupata namba pembeni ya Pogba".
Nao wao bila aibu...
Hamna lolote.Si ndio hao hao walioanzisha mada kuhusu udhaifu wa Simba na kiwango kushuka. Leo baada ya kupandishwa boti mapema wanaanza visingizio vya kitoto vya mazoezi eti bonanza kwani wamejua na akili kuwarudia baada ya kutolewa?Walienda Zanzibar kufanya nini?Kutalii?Walipomfunga Zimamoto...
Akili zimewarudia mlipokuwa mnaizungumzia Simba na kiwango chake ilikuwa haluwa mara imegeuka shubiri. Uko kwenye chumba cha vioo unarusha mawe ndio matokeo yake hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.