Recent content by nganasyo

  1. N

    Samson Mwigamba: Nitayasema maovu yote na nitawachukulia hatua kisheria wote walionipiga

    mbona akina mwampamba,shonza walisema hivyohivyo kwenye majukwaa hata kwenye vyombo vya habari! sasa hivi wako wapi,watu wapaswa kufahamu kuwa kupenda chama ni imani!
  2. N

    CHADEMA machoni mwa jamii ya watanzania

    hivi ni kundi gani kubwa la vijana na wazee linalomuunga mkono zito?labda kanda ya magharibi,kanda ya nyanda za juu(mbeya,rukwa,iringa),kusini.mashariki.etc hakuna kitu kama zito!pole sana mtoa mada ,anzisha mada nyingine hii haiwezi kushika maji!
  3. N

    CHADEMA Kusambaratika kama NCCR-Mageuzi siku si nyingi

    kila mmoja anauhuru wa kutoa mawazo yake!angalia usije ukadhani umesimama kumbe tayari umeanguka,sio kila wakati historio ni rejeo ya mambo yaliytopita
  4. N

    Tundu Lissu, Lukuvi, Dr Kitima jino kwa jino!

    mpambano huo sio fair kabisa lukuvi sio saizi ya lisu,mie binafsi nashauri mpambano mwingine uandaliwe ili fairness iweze kupatikana
  5. N

    Lissu: kumfungulia Sugu kesi ni kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa wa Tanzania

    kumbe maccm wengi mnakurupuka au uelewa wenu ni mdogo!tafsiri ya ndani ya bunge inamaanisha ndani ya jengo lenyewe,viunga vya bunge,barabara za ndani ya viunga vya bunge kwa ujumla kuzunguka jengo zima la bunge!
  6. N

    Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

    inakuwaje cdm wavuruge katiba wakati ndiyo vinara wa kutaka katiba mpya!ama kweli muda wa kudanganya sio huu,labda nape aliangalia hadhira aliokuwa anahutubia,siamini kauli kama hii anaweza kuitoa kwa watu wan aoelewa!zama za kudanganya zilishapitwa na wakati.
  7. N

    Kifo cha CCM kimetimia

    huo ndio ukweli subiri na vijana ambao hawakuwemo kwenye dafutari la wapiga kura!sasa hivi wanateseka wakiongezeka na hao je!
  8. N

    Kikwete: Ziara ya kiserikali na kurudisha kadi wap na wapi?

    mbinu kama hiyo waliitumia hata mbeya alipokuja mwenyekiti wa umoja wa wazazi taifa wakawakokota watu waliochoka na kuwapa sh 10000 na kadi feki wakatangaza wameibomoa mbeya!bada ya dakika chache wale jamaa wakatoa siri.hakika ccm wamekwisha!
  9. N

    CUF: Ndugai awaombe radhi wapinzani

    bado muda mfupi tu ndugai na wenzake watakuwa kambi ya upinzani.hata dola za zamani za afrika magharibi zilikua hatimaye zikaanguka nakupotea kabisa!
  10. N

    Sugu anatafutwa na Polisi Dodoma ...Amefunguliwa faili na Askari Polisi

    amakweli polisi sisiem na wabunge wake wanatoa mishipa wakiamini wataungwa mkono!wananchi wamechoka hata hivyo kutakucha tu!
  11. N

    CCM na ndoto za Mchana

    asilimia kubwa ya wabunge wa ccm wanamini kuwa wananchi wengi hawajui kinacho endelea ndani ya nchi yao! wanafikiri ni walewale wa 1947,wakati wengi wao tunafahamu hata upeo wao wa kifikra tangu wakiwa shuleni, naamini wakati utawaumbua!wajue watanzania wengi mijini na vijijini kwa sasa...
Back
Top Bottom