Naomba kuelekezwa namna ya kurekebisha frequency kwenye dish la azam tv ambalo limepoteza uelekeo kabisa.Mimi nipo kijijini kiasi kwamba kumpata fundi italuwa taabu.Decorder inasoma intensity 16 na quality 0.
Nahitaji wakala wa kuuza vitabu mkoa wa Mwanza na Arusha.Kwa sasa nina vitabu aina mbili ambavyo ni Mwandae mtoto kufikia malengo yake na Tanzania mikononi mwa Mungu.Karibuni
Pole sana kwa yanayokusibu.Binafsi pia mke wangu pia amekuwa akinisumbua sana,nimefanya kila njia kumrekebisha bila mafanikio.Nimekaa muda mrefu nikifanya uchunguzi nikabaini ni rafiki na ndugu zake ndio wanaoharibu ndoa yetu kwani wengi wao hawana waume.Nakushauri usimwache mkeo komaa wanawake...
Nilishuhudia kitendo cha kinyama kwa binti mmoja aliyefiwa na baba na kuamua kutafuta kazi za ndani ili amsaidie mama yake aliyekuwa na kipato duni.Yaliyomkuta ni fedheha kwani familia ilijenga hoja kuwa ana mashetani ndio maana mtoto ameshindwa kumzoea.wakachukua uamuzi wa kumwombea kwa nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.