Mjadala sio ukubwa wa IQ kwani IQ unazaliwa NATO hapa hoja kwetu sisi hapa lugha gani muhimu kukupa urahisi was kupata maarifa? Mambo mengi muhimu utayapata katika Kingereza kuliko kiswahili hivyo bado kingereza inatakiwa itiliwe mkazo zaidi.Kiswahili kina upungufu mkubwa wa maneno ya kisayansi.
Kuanzia sasa nitakuwa nampeleka binti yangu shule halafu nakaa nje kumsubiri akitoka darasani turudi Nyumbani! Akitaka kwenda choo naingia kwanza kukagua usalama Ndio nimruhusu aingie
Unadhani watapelekwa mahakamani bila ushahidi? Uchunguzi ni lazima utafanyika, ushauri ni uchunguzi utangulie kutaja majina kufuate baada ya uchunguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo research yako ilihusisha wanaume wangapi huku mtaani kwetu wanaamini weusi wanakajoto poa na weupe cold blooded!! [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.