Recent content by Ngakayu

  1. N

    Msukuma: Rais Magufuli apige marufuku mikutano ya vyama vya siasa hadi 2019

    Darasa la saba huyo hawezi akafanya analysis.
  2. N

    Siku ya UHURU wa Tanzania bara (9/12): Yaliyojiri maeneo mbalimbali kuhusu kufanya usafi

    Naziona takataka mwanza jiji barabara ya pamba zimewekwa pembeni bado hazijazolewa kupelekwa kwenye collection point!
  3. N

    Mwenyekiti shule binafsi: Ada elekezi kwa shule binafsi ni kiini macho

    Utoaji wa elimu ni huduma. Walishaambiwa wanapopandisha ada wawe nakibali cha kamishina wa elimu, lakini hawafanyi hivyo! na ada zao hazilingani kila mwenye shule akijisikia anapandisha ada! lazima mpewe ada elekezi mlizidi mno!
  4. N

    Ahadi ya Elimu bure kuanzia Primary hadi University, Je HESLB ifutwe?

    Mbona Gadafi aliweza hata Nyelele aliweza, ni uamzi tu pesa ipo huliwa na mafisadi.
  5. N

    Wakisema waendesha bodaboda sawa, ila hata kwa Wasomi? Tumepoteza matumaini

    Kenya walimweka uhuru kenyata na alikuwa mtuhumiwa wa icc ugopa mabadiliko huwa hayazuiliwi baba! Haijalishi uwe msomi.
  6. N

    Mali alizochukua Mkapa na familia yake

    Uhuru Kinyatta alikuwa na kesi ICC Wakenya walimpa Uraisi (Lowasa kama ni fisadi tunampa kura zetu tunahitaji mabadiliko)
  7. N

    Takwimu zinavyoikaanga CCM uchaguzi 2015

    Kazi ipo ccm wajiandae kuondoka.
  8. N

    Namuona Magufuli ameshakubali kushindwa

    Mafisadi asiliya yao ni chama gani? ukawa hawapo ndugu yangu, wameshasafishwa.
  9. N

    Fredrick Sumaye "nyota wa mchezo"

    Yangu macho, msema kweli mpenzi wa Mungu.
  10. N

    Rais Jakaya Kikwete wakati mwingine kunyamaza ni hekima kubwa sana

    Mungu akubariki kwa kuwa mkweli bro.
  11. N

    Ukomavu mkubwa wa kisiasa CHADEMA

    Wanasema CCM tunapokwenda kwenye mikutano ya ukawa tumepema hela! huo ni uongo.
  12. N

    Tetesi Nyumba imeungua Geita.

    Nasikia kuna nyumba imeungua Geita mtaa wa Nyankumbu usiku wa leo na watoto 3 kufia kwenye nyumba na mmoja kafia baada ya kufika hospitalini! Mlioko Geita tupeni taarifa.
Back
Top Bottom