Utoaji wa elimu ni huduma. Walishaambiwa wanapopandisha ada wawe nakibali cha kamishina wa elimu, lakini hawafanyi hivyo! na ada zao hazilingani kila mwenye shule akijisikia anapandisha ada! lazima mpewe ada elekezi mlizidi mno!
Nasikia kuna nyumba imeungua Geita mtaa wa Nyankumbu usiku wa leo na watoto 3 kufia kwenye nyumba na mmoja kafia baada ya kufika hospitalini! Mlioko Geita tupeni taarifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.