Kuna ugumu Fulani kwa Iran ya ku-unblock kama ilivyo ngumu kwa marekani..yaku-unblock Hormuz hapo wote Iran na marekani wanna nguvu za kutosha kumzuia mwingine endapo tu mmoja wapo kamtangulia mwenzie kusimika mahali.....Kwa hiyo mwenye kusafa hapo ni marekani ambaye ametuaminisha Dunia nzima...
Netanyahu ashukuru sana tena sana...ingetokea trump kadead angeona Dunia chungu maana angekuwa amepoteza mtu muhimu wa kumuwezesha kwenye siasa zake za kiharamia anzozifanya mashabiki ya kati....Kwa maana kungekuwa na uwezekano wa kutokea ceasefire ya kudumu huko mashariki ya kati ... Na...
Hujua hata vita vinavyoendelea vinahusisha mataifa yapi....umeamua kupachika tu Uzi ili upate wachangiaji.then moyo wako ufurahi........
Inshort ni kwamba hivyo vita ni vya USA na Iran -Israel ni kama kipapatio tu kinachojitutumua ili nao waonekane walipigania maskah yao na wakashinda...
Yaani kiini cha hoja hii Bado hujakielewa.... Fuatilia vizuri Uzi ulikotokea mpaka na mimi nikaamua kuchangia... Siichukii Iran kama unavyoniaminisha.... .Iran..Russia. north Korea, china ndo mataifa ninayoyakubali zaidi na sio westerns....Iran inaweza kuwa ilistarabika zamani sana lakn haiondoi...
Kuna kitu hujui kuhusu north Korea na iran....ni kwamba tech nyingi za missiles za Iran kapenyezewa na north Korea ingawa nyuma yake kuna Russia.... Russia huwa haonekani Moja Kwa Moja kumsaidia Iran kutokana na mikataba Fulani waliyofunga super powers ya kutosambaza technologia ya siraha nzito...
Sio kwamba Russia amefail Kwa kutowashambulia wasaidizi wa ukrain ...ila ni kwamba kila vita Ina mikakati na mbinu zake... Wanaomsupport ukrain ambao ni EU nao wanalia wanaumia sana bajeti zao za kijeshi zimetumika sana dhidi ya urusi kiasi kwamba hawawezi hata kwenda kumsaidia ndugu Yao Amerika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.