Recent content by ngajapo

  1. ngajapo

    Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    Sema yanga wana bodi ya ligi
  2. ngajapo

    Hizi breaking news za waarabu wa Mbwinde kwamba Netanyahu kauawa, source yake ni wapi ?

    Kafia ujerumani aliko kimbilia Kwa ajili ya matibabu...supa powa wanajipanga jinsi ya kutangaza kifo chake
  3. ngajapo

    Duh, Waisraeli ni watu wenye akili sana – Tazama mahali wanapojificha wakati wa vita. Ni raha tupu!

    Hizo ni propaganda tu! Za watu wa magharibi ...Kama alishinda ndani ya siku sita mbona Hamasi kamtoa kamasi hadi leo Bado Israel hajaseto kabisa...
  4. ngajapo

    Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    Angetamka Irani tungesema naam sasa kuna jambo linaenda kutokea!! Lkn si Hawa mabalazi aka vibaraka wa magharibi
  5. ngajapo

    Mwanamke ukitaka kuolewa, olewa na mwanaume anayekupenda na sio mwanaume unayempenda

    Siku hizi mwanamke anatakiwa ampende mwanaume ndo anaweza kutulia ndani la sivyo bro...ukimpenda sana mwanamke asiyekupenda mwanaume utapata tabu sana......
  6. ngajapo

    Kila nikifikira Simba imewahi kunusurika kushuka daraja zaidi ya mara moja huwa naumia sana nikifikiria Yanga haijawahi kabisa

    Wenye akili kwenu ni wawili tu halafu bahati mbaya wote ni wazee Wana 70+.. anzeni kumwandaa manara achukue nafasi ya baba yake...
  7. ngajapo

    Iran: Tutashirikiana na China, tutabadili mwelekeo wa dunia

    Hivi wewe jamaa sijui unaongea nini!? Kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani kabisa...yaani badala ya kutuhabarisha Ili tuchangie ...wewe unaonyesha kulalamika......kama vile unamlalamikia urussi Kwa niaba ya Irani.... Hebu edit Uzi wako utuambie ulitaka kuandika nini broo....????
  8. ngajapo

    Jezi za Yanga ni mbaya sana. Uongozi wa Club MMEZINGUA

    Eti engineer Yuko makini..kweli!!! Angekuwa makini asingeharibu siku ile ya harambee ya ccm
  9. ngajapo

    Huko X(twitter) kinachovuma ni Trump kung'ata shuka

    "Trump Is Dead": After JD Vance's "Terrible Tragedy" Remark, A Viral Trend Was it sparked by concerns over his health, or is it tied to recent remarks from Vice President JD Vance and The Simpsons creator Matt Groening......... Source: NDTV
  10. ngajapo

    Spika wa zamani wa Ukraine auwawa kwa kupigwa risasi

    Mmmmh!! Au mi akili yangu imegeukia kisogoni..mbona sielewi? Huku yuklein huku mohamud abas wa Palestine....
  11. ngajapo

    Urusi yafanya shambulio la pili kubwa zaidi la anga Ukraine, ikiwaua zaidi ya watu 23 na kuharibu jengo la Umoja wa Ulaya

    Halafu zele na wenzio wa ulaya wanataka kumfanya Putin zoba... Wanajidai kuomba kusitisha vita huku wanatuma siraha lukuki kwenda ukrain.. acha Putin awachape tu hadi wanyoshe maelezo....
  12. ngajapo

    Urusi yafanya shambulio la pili kubwa zaidi la anga Ukraine, ikiwaua zaidi ya watu 23 na kuharibu jengo la Umoja wa Ulaya

    Putin ni Mzee wa kunyoosha hataki janjajanja za watu wa ulaya....( Mara waombe mazumgumzo ya kumaliza vita, mara wakimbilie marekani wakizani urussi ataigopa marekani mara hii wamsonge zelensky awe na kiburi cha kutomaliza vita...na mengine mengiii.. ila Putin atanyoosha mpaka wakae sawa...)
Back
Top Bottom