Recent content by NGAHHI

  1. N

    Wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh laki mbili tu

    Habar....je kama nataka kununua kwa kikuu, inaezekana kuekewa vtu hvo vyote kwenye package moja ili kupunguza bei ya usafiri??
  2. N

    Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

    Mbona hyo ALIBABA shipping fee ake n kubwa kuliko bidhaa, uliwezaje kuagiza kupitia wao??
  3. N

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Hiv kama nna laki 5 inatosha kuagiza bidhaa china?? Bidhaa Kama jeans??
  4. N

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    N kweli nashkur kwa ushaur... hpo kuna kiwanja ambacho kinaeza tosha vyumba 5.....ukiachana na hicho kibanda hapo umeme na maji vpo karb hta hpo mbele yake kuna nguzo ya umeme na barabara ipo karb na gar linaeza ingia hd huko
  5. N

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    N sawa....biashara c maelewano tu...... sawa cio nyumba ila kama mtu anapataka c tunaongea tu kuna shida hapo?
  6. N

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Umemaanisha nn hpo....cjaelewa
  7. N

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Nyumba inauzwa morogoro mjini maeneo ya chamwino 10M Kwa mawasiliano 0719534334 ( muuzaji/ mwenye nyumba)
  8. N

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Morogoro Mjini- Mafiga

    Nyumba(kibanda) inauzwa morogoro maeneo ya chamwino 10M kwa mawasiliano 0719534334( muuzaji/ mwenye nyumba) hapo mbele unaeza kuongeza vyumba vingne
  9. N

    Plot4Sale Viwanja Morogoro

    Nyumba inauzwa morogoro maeneo ya chamwino 10M Kwa mawasiliano 0719534334 ( muuzaji/ mwenye nyumba
Back
Top Bottom