Recent content by neymahar

  1. N

    Natafuta kazi yoyote halali

    Ni kweli kabisa
  2. N

    Ninatafuta Kazi yoyote ya halali, nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi

    Habarini Wakuu Kama kichwa cha habari kinavosema. Mimi ni kijana jinsia (ke), nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi (Uchumi wa biashara) ni muhanga wakutafuta ajira, siko na experience sana ila ni mwepesi kufundishika na utayari wa kujifunza na mkoa wowote naeza ishi kulingana na...
  3. N

    Natafuta kazi yoyote halali

    Ni ngumu..maana ata Mimi I wish ningepata watu ivo wakunisaidia
  4. N

    MSAADA AJIRA PORTAL

    Natumia PC sijui nitakua nakosea wapi
  5. N

    MSAADA AJIRA PORTAL

    Me bado jamanie iko 68% cjui nakosea wapi nimejaza karibia kote kasoro kwenye professional qualifications kama sijakosea apo Amna ata kinachoendana na Mimi naona ma CPA zile elimu za juu nadhani ndo maana nimepaacha..naomba nielewesheni
Back
Top Bottom