Habarini Wakuu
Kama kichwa cha habari kinavosema. Mimi ni kijana jinsia (ke), nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi (Uchumi wa biashara) ni muhanga wakutafuta ajira, siko na experience sana ila ni mwepesi kufundishika na utayari wa kujifunza na mkoa wowote naeza ishi kulingana na...
Me bado jamanie iko 68% cjui nakosea wapi nimejaza karibia kote kasoro kwenye professional qualifications kama sijakosea apo Amna ata kinachoendana na Mimi naona ma CPA zile elimu za juu nadhani ndo maana nimepaacha..naomba nielewesheni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.