Ninatafuta Kazi yoyote ya halali, nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi

neymahar

Member
Apr 3, 2018
6
3
Habarini Wakuu

Kama kichwa cha habari kinavosema. Mimi ni kijana jinsia (ke), nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi (Uchumi wa biashara) ni muhanga wakutafuta ajira, siko na experience sana ila ni mwepesi kufundishika na utayari wa kujifunza na mkoa wowote naeza ishi kulingana na mazingira.

Hivyo niombi langu yeyote anaezaa tokea na kunisaidia kupata either, kazi/intern/volunteering.

Asanteni sana na samahani kwa uandishi wangu ila natumaini yeyote anaeza soma nakuelewa.

PS. (Kindly) Naomba sana mtu yeyote asinijibu vibaya au kunikatisha tamaa..sio wote tunaeza pokea negative vibes za kwenye mitandao.
 
Omba hii internship programe if interested. @neymahar
Habarini wakuu

Kama kichwa cha habari kinavosema, Mimi ni kijana jinsia (ke), nina shahada ya maswala ya biashara na uchumi (Uchumi wa biashara) ni muhanga wakutafuta ajira, siko na experience sana ila ni mwepesi kufundishika na utayari wa kujifunza na mkoa wowote naeza ishi kulingana na mazingira.
Ivo niombi langu yeyote anaezaa tokea na kunisaidia kupata either, kazi/intern/volunteering.

Asanteni sana na samahani kwa uandishi wangu ila natumaini yeyote anaeza soma nakuelewa.

PS. (Kindly) Naomba sana mtu yeyote asinijibu vibaya au kunikatisha tamaa..sio wote tunaeza pokea negative vibes za kwenye mitandao.
View attachment TIMIZA-MALENGO-Entrepreneurship-and-Employability-Internhip-Programme-Ad-1.pdf
 
Ungekuwa na uzoefu wa 2-3 yrs ningekuwa kwa kikampuni changu mkuu.

Ila kila la kheri mkuu.
 
MSOMI ANAETAFUTA KAZI YEYOTE

Huwa namuona kama hatafuti kazi yeyote kama ataandika title ya utafutaji kazi kama yako...unapotafuta kazi yeyote HALALI hauna haja ya kusema UNA SHAHADA ya kitu flani,kusema una shahada ina maana tyr unataka uajiriwe official...kama unatafuta kazi yeyote huhitaji kusema una elimu gani.

Maaana kazi kama ya ujenzi,u mama ntilie,beba tofali hazihitaji shahada yako zinahitaji MTU ALIE SERIOUS anatafuta kazi,muajiri anaetaka mtu alie soma atakwambia "nahitaji mfanyakazi ila atleast awe kasoma" ukimpata wa hivyo ndio umwambie sasa kuwa una SHAHADA YA KITU FLANI.

Ila unapokuja huku kutafuta kazi yeyote..i mean YEYOTE usitaje kiwango cha elimu yako....ATAEHITAJI ELIMU YAKO NDIO UTAMTAJIA. kwa title hiyo unafkiri mtu kama mama ntilie anaweza kukuchukua? atakuogopa maana anajua huyu msomi ntamlipaje? mtu kama ana kazi ya duka Hawezi kukuchukua ataona huyu ntamlipa nini?

Unapotafuta kazi usipende taja kiwango chako cha ELIMU pata kazi kwanza....Siku hizi mtu ana PHD ila akitafuta kazi anatafuta kwa vyeti vya bachelor then akiwa kaziini akisoma upepo ndio anatoa mavyeti sasa .

Sijui kama umenipata pata kidogo tu...Usijali lakini utafanikisha.
 
Habarini Wakuu

Kama kichwa cha habari kinavosema. Mimi ni kijana jinsia (ke), nina shahada ya masuala ya biashara na uchumi (Uchumi wa biashara) ni muhanga wakutafuta ajira, siko na experience sana ila ni mwepesi kufundishika na utayari wa kujifunza na mkoa wowote naeza ishi kulingana na mazingira.

Hivyo niombi langu yeyote anaezaa tokea na kunisaidia kupata either, kazi/intern/volunteering.

Asanteni sana na samahani kwa uandishi wangu ila natumaini yeyote anaeza soma nakuelewa.

PS. (Kindly) Naomba sana mtu yeyote asinijibu vibaya au kunikatisha tamaa..sio wote tunaeza pokea negative vibes za kwenye mitandao.
Hii inaweza kuwa ndo ajira yako ya moja kwa moja, njia ya kukusaidia kufungua kampuni yako au sehemu ya kujipatia kipato na experience ukiwa unaendelea kutafuta ajira.
Angalia hii kitu, www.ajiras.com, ni mtandao wa kujiajiri. Kama wewe uliyesoma maswala ya Biashara na Uchumi, unaweza kujinadi kama Consultant unayetoa ushauri kuhusu biashara au kuweka mahesabu. Unaweza pia ukawa unatengeneza business plan au proposal.

Unaweza jiongeza na kufuatilia maswala ya kodi yalivyo kwa wafanya biashara na kuanza kutoa ushauri kuhusu kodi. Kwa kifupi ni kwamba kwa kutumia ajiras.com hautohitaji ofisi (frame) au mtaji wowote, elimu yako inatosha. Ajiras itakusaidia pia kukutangaza sehemu mbalimbali ili upate dili.

Iangalie, huu muda unaosubiri ajira, unaweza anza hapo kwenye www.ajiras.com. Na haiku cost chochote, kujiunga na kuweka tangazo lako ni bure kabisa. Pitai ambazo zipo uone zilivyo andikwa.
 
nashauri ungejiajiri maana shahada yako ya biashara na uchumi huo ndio uwanja wake
 
Back
Top Bottom