Habari zenu nyote.
Nipo hapa kwa ajili ya kujitolea kazi ya uangalizi mgonjwa, mlemavu, nk majumbani.
Age 28
Jinsia KE
Malipo atakadiria boss mwenyewe kwasabbu sina experience yoyote ila ipo nafsini hii kazi🙏
Vipi uliipata kazi ??
Mim pia nahitaj hiyo kazi japo sina experience hivyo muhusika atanilipa atakavyopendezwa.
Jinsia kike .🙏
Kwa mwenye uhitaji pia karbu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.