Ukubali ukweli kua yamepita na sio wako tena..kubali ilikua ni njia ya wew kupita,umejifunza tyr aliyokufundisha na maisha lzm yaendelee..fikiria vitu vinavyokuhitaji ufanye na maisha uliyotamani kuishi bado yanakusubiri.
Ukitumia madawa ..utapauka yaan utazeeka kabla ya umri wako kuna %kubwa utapata HIV na TB,kuna uwezo mkubwa wa figo kufeli yaaan kiufupi utapotee mapema...ushauri jaribu kujichanganya na watu nenda sehemu mbali mbali utapata tu..kuna wanawake wengi wanatak ndoa mbn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.