Recent content by Ney simon

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mada moto Channel 10: Edward Lowassa ndani ya UKAWA. Polepole amfananisha na malaya...

    Mabadiliko ni muhimu,lakini si kwa watu walewale waliotoka ccm,sura zilezile za ccm,maana yake na akili zitakuwa zilezile,yaani itakuwa ni kubadilisha jina la chama lakini watendaji ni walewale,kama watanzania tunataka mabadiliko ya kweli basi mleteni dr slaa,lakini sio Lowasa mseme mnataka...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Wanaokimbilia CHADEMA Wanampenda Lowassa au Wanamkimbia Magufuli?

    Wanamkimbia magufuli,maana magufuli ni jembe,wanaogopa kulimwa.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa mke wangu amenishinda, anaelekea kuvunja ndoa yetu

    Waone wazee wakusaidie,utawatesa wanao utakapooa mke mwingine,mateso unayopata wewe ni si machungu kama mateso watakayopata wanao.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    chadema wanakula matapishi yao wenyewe,walizunguka nchi nzima na kutuaminisha kwamba Lowasa ni fisadi,sasa leo polepole anaongea basi amepokea hela,ukweli unauma siku zote.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Lipumba amejitambua,tunamsubiri Dr slaa naye atangaze.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wazee wa CHADEMA wakutana na Dr. Slaa leo

    Dr slaa anajitambua,hayupo tayari kushiriki dhambi,
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

    Naomba isiwe kweli
Back
Top Bottom