NAJITAHIDI SANA KUHUSU NIDHAMU YA FEDHA AISEEE ! YAANI NAANGALIA MIAKA 20 IJAYO NA SIO KUDANGANYWA NA VITOTO VYA 2000 ETI NIHONGEEE ! NIPO VERY FOCUSED!
Ikiwezekana sio mjengo tu bali apartments several units kwa ajili ya kupangisha and it pays a lot.
Kuweka akiba ya fedha benk badala ya kuwekeza huku ni kujichelewesha sana
Mimi matumizi yangu ni 1 Million tu no matter what but 3/4 lazima iingie kwa investment for future.
But kwa watoto wa 2000 hii kanuni ni ngumu wao kuitumia kwa sababu ya vitoto vya kike na ulabu ambao hauna shukrani
Hili lijamaq ni lijinga sana , yaani ni Wale watu wanaojifanya wamesoma na waelevu lakini ni wajinga na ni empty set kichwani.
Mara ya kwanza nilidhani ni mwandishi msomi anayejua mambo mengi na ana weledi kumbe ni ni wale waandishi njaa.
Buree kabisa! Unajidhalilisha buree ! Kama unaandika...
Hili lijamaq ni lijinga sana , yaani ni Wale watu wanaojifanya wamesoma na waelevu lakini ni wajinga na ni empty set kichwani.
Mara ya kwanza nilidhani ni mwandishi msomi anayejua mambo mengi na ana weledi kumbe ni ni wale waandishi njaa.
Buree kabisa! Unajidhalilisha buree ! Kama unaandika...
Kadogo2,
Nilijua ninayeteseka na mapenzi ni mimi peke yangu kumbe tupo wengi. Nashukuru nimesoma thread yako na kujua kuwa kumbe maisha yanahitaji uvumilivu na kuwa na subraa.
Anyway mimi niliamua kukaa kando na kuyapa kisogo mahusiano lakini kupitia andiko lako nimeona kama ikiwa upendo ni...
Jeshi la tz ni wangese wakubwa plus teeth! Manyokoooo zao including djs na cdf4 wao
Hawajui hata dhamana waliyopewa kwenye kulinda hili taifa (watanzania na rasilimali zake), yaani wamekuwa walamba mataccoss ya samuya!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu.
Ndugu zangu mimi ni mwanaume, miaka 40 natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa mume ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufunga ndoa na kujenga familia bora pamoja.
Elimu yangu ni ya Chuo, nina kibarua cha kunipatia kipato cha kuendesha familia vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.