Layman,
Ivi mtu kafa na anaanza kuoza awekewe kichwa kizima halafu mwili ulioanza kuoza uamke.
Hata mwili uwekwe kwenye friji, na udungwe sindano ya kuto kuoza, unakauka, mishipa inafunga, seri zinakufa, viungo vya ndani, kama figo, ini, bandama vinaharibika,
Eti kwa kuwekewa kichwa kipya...