Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Si ndio ata mimi nilitaka kushangaa,huyo mchinjaji napajua mpaka kwake pale Keko Machungwa alafu leo atokezee Saudia tena akiwa mchinjaji wakati hapa Dar ni muuza Supu pale Keko Veta?The Bold nadhani hii habari au story umeikopi na au kuitafsiri kutoka kwenye vyanzo vya habari vyenye mrengo wa Kishia.
Nasema hivi kwa sababu japokuwa sikubaliani sana na utwala wa Kifalme wa Saudia lakini pia nafahamu vizuri kadhia y Al Nimr na nafahamu sana propaganda za jamaa wa Kishia hasa serikali ya Iran dhidi ya Utawala wa Kifalme wa Saudia.
Inshort sisi waislam Sunni pamoja na kutokukubliana katika baadhi ya mambo,lakini Shia huwa na chuki zaidi na hutumia juhudi kubwa kufanya propaganda dhidi ya mataifa yenye Sunni wengi.
Tahadhari yangu kwako bwana The Bold sijui wewe imani yako lakini unatakiwa kuwa makini sana kwenye issue sensitive kama hizi manake unaweza kufanya kazi ya watu fulani bila kutambua.