Recent content by newktz

  1. N

    TFF na TAKUKURU waangalie hili suala la upangaji wa matokeo linalofanywa na Yanga wakishirikiana na washirika wao Singida Big stars

    Kilicho fanyika leo ndo kilicho fachika kati ya Tabora united na Simba mkoani tabora. Ligi ya hapa Nbc imejaa upangaji na yote hii ni kwasababu ya wanasiasa kujiingiza kwenye michezo kwa kutafuta umaarifu wa dezo.
  2. N

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Habari yako mkuu Arsis, Visa vya kojani vimekwisha au majukumu yamekuwa mengi. Natumai u buheri wa afya
  3. N

    How to make natural viagra using only 2 ingredients

    Ndugu hiyo tiba mpk mtu apone kabisa tatizo lake inachukua muda gani?
  4. N

    Kiuandishi wa mashairi Diamond kamzid Kiba

    Acha uwongo ndugu diamond nyimbo zake nyingi sio bora sana kwa muda kama kiba sema diamond ana kiki kiujanja ujanja lkn si muandishi mzuri sana kulingana na ally kiba ingawa mimi sio mshabiki wao
Back
Top Bottom