Recent content by NewGeneration

  1. NewGeneration

    Dk. Slaa Ajibu Mapigo ya CCM

    Nadhani watakuwa wameupata ushauri huu... na waufanyie kazi>>>Kwani, wanawindwa sana!!!
  2. NewGeneration

    Dk. Slaa Ajibu Mapigo ya CCM

    Harakati zinazoendelea kwa sasa za CHAMA CHA DEMOCRACIA NA MAENDELEO (CHADEMA) wengi wetu tunajua nini hasa kusudio la chadema...na sivyo wanavyo fikiria CCM na uongozi wao ulioko madarakani. Kinachoendelea sasa...nikuwaelimisha wananchi hasa wale ambao hawajui ni kitu gani kinachoendelea...
  3. NewGeneration

    Utapeli wa ccm kwa mwananchi wa yombo dovyo mpaka buzza

    Hivi ndivyo wakazi wanaotumia barabara ya kuanzia devis corner kuelekea vituka na buza walivyo tapeliwa na baadhi ya viongozi ambao walikuwa wanagombani uongozi wa serikali za mitaa kupitia chama cha mapinduzi (ccm). Wakati wakampeni ndogo hizo zilizofanyika mwishoni kwa mwezi uliopita, agenda...
  4. NewGeneration

    Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

    Komed huwa hawatabiriki wale, wapo kama kinyonga ni wabunifu saaana. Kunakipindi wanaboooa kunakipindi wavutia saana. But for this tyme hawanivutii kivile. Sometimes ninakosa hamu yakuicheki kwasababu ya mpangilio wao wa sasa wa habari zao. Hauwezi kuwafananisha na futuhi hata kidogo. Japokuwa...
  5. NewGeneration

    Kanumba ndani ya Big Brother House 2009

    Wabongo hatupendani hasa wakati kunatokea kosa dogo kama hilo la kanumba, ilikuwa haina aje ya kumkeje kijana mwenzetu namna ile. Kwana kunawengine wengi tu ambao lugha hiyo ya kiingereza inawapigachenga pindi inapofikia mazungumzo ya hapo kwa hapo(conversation). Wa bongo wengi tumeshazoea...
Back
Top Bottom