NewGeneration
Member
- Aug 8, 2009
- 6
- 0
Hivi ndivyo wakazi wanaotumia barabara ya kuanzia devis corner kuelekea vituka na buza walivyo tapeliwa na baadhi ya viongozi ambao walikuwa wanagombani uongozi wa serikali za mitaa kupitia chama cha mapinduzi (ccm). Wakati wakampeni ndogo hizo zilizofanyika mwishoni kwa mwezi uliopita, agenda kuu ambayo ilikuwa ikizungumziwa na wagombea hao wa ccm walikuwa wakidai kuwa barabara hiyo ilishapata mkandarasi wa kuitengeneza kiwango cha lami, ili wakuweza kuwapata vizuri wakazi hao. Ghafla tu, tuliona bango kubwa la kuashiria barabara itaanza kujengwa tena bango lenyewe waliliweka siku ile ile ya uchaguzi yaani tarehe 25/10.
Lakini baada ya mimi kufanikiwa kulisogelea lile bango na kulisoma vizuri nilishangazwa kuliona hilo bango kukosa baadhi ya taarifa muhimu ambazo zinaonyesha kuwa kuna ukweli wa hii barabara kutengezwa. Kama unavyo weza kujionea contractor ambaye ametajwa hapo hakuandikiwa address yake, wala hakuna consultant aliyetajwa. huu kama sio utapeli nini jamani? Eti wa jamii forums, ebu nielewesheni hivi ndivyo mabango yote ya ujenzi wa barabara yanavyo andikwa.
tutaendelea kudanganyika hadi lini? Barabara sasa ni mbovu kupita maelezo.
Picha imechukuliwa kwa simu, samahani kama itakuwavigumu kuiona vizuri. Ila unaweza ukaidownload than ukai zoom vizuri zaidi.
Lakini baada ya mimi kufanikiwa kulisogelea lile bango na kulisoma vizuri nilishangazwa kuliona hilo bango kukosa baadhi ya taarifa muhimu ambazo zinaonyesha kuwa kuna ukweli wa hii barabara kutengezwa. Kama unavyo weza kujionea contractor ambaye ametajwa hapo hakuandikiwa address yake, wala hakuna consultant aliyetajwa. huu kama sio utapeli nini jamani? Eti wa jamii forums, ebu nielewesheni hivi ndivyo mabango yote ya ujenzi wa barabara yanavyo andikwa.
tutaendelea kudanganyika hadi lini? Barabara sasa ni mbovu kupita maelezo.
Picha imechukuliwa kwa simu, samahani kama itakuwavigumu kuiona vizuri. Ila unaweza ukaidownload than ukai zoom vizuri zaidi.