Recent content by new_learner

  1. new_learner

    Iringa Mjini hali ni mbaya mabomu yanalindima

    Wanaopigwa mabomu ni wana a CCM ss nashangaa chadema mnajiingiza nn... tuachieni vijana wa CCM tujitetee wnyw
  2. new_learner

    UKAWA; Iko wapi timu yenu ya Kampeni

    UKAWA ni kama baniani tu wanajua kuna mungu, lakini hawajui mungu nani
  3. new_learner

    Lowassa Afunika Iringa

    Msiwe mnakurupuka kujudge huyo mfanyabiashara kashapokea tuzo nyingi za mlipaji kodi bora... Watanzania ndo maana hatuendelei badala ya kujitafutilia maendeleo wemyewe tumekaa tunatafutiana chuki kwny biashara
  4. new_learner

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Jamani hii ni nchi ya demokrasia... we mbna hakuna aliekupangia usupport wapi?? Kwann mumpangie diamond au ye hana haki?? Wapi iliandikwa msanii hatakiwi kusuuport ccm... hajakosea mkapa kuwaita malofa
  5. new_learner

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Wajae sana tu wakajazwe ujinga... ila mwisho wa sku ccm inaenda ikulu
Back
Top Bottom