Msiwe mnakurupuka kujudge huyo mfanyabiashara kashapokea tuzo nyingi za mlipaji kodi bora...
Watanzania ndo maana hatuendelei badala ya kujitafutilia maendeleo wemyewe tumekaa tunatafutiana chuki kwny biashara
Jamani hii ni nchi ya demokrasia... we mbna hakuna aliekupangia usupport wapi?? Kwann mumpangie diamond au ye hana haki?? Wapi iliandikwa msanii hatakiwi kusuuport ccm... hajakosea mkapa kuwaita malofa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.