Vyombo vya usalama vifuatilie ukweli huu. Na kama Ali Saidi anamiliki mtandao wa vibaka ashugulikiwe. Mimi nilishindwa kuelewa MTU atobolewe macho halafu asiende polisi mpaka asubiri waandishi wa habari ainiingi akilini.
Kama kweli scorpion alipambana na jambazi mkuu atendewe haki. Ukweli...
Rais Mutharika akianzisha vita walinzi wake watamkamata na kumkabidhi kwa JPM. Nani anataka anataka vita Malawi. Dunia nzima mpaka ukiangukia majini basi mnagawana. Hata wanyama rukusa kuvuka mipaka. Mutharika anatamaa ameambiwa kuna mafuta ziwani amepanic.
Wanasheria wa NHC kula hela zetu kwa halali, taaluma yenu inawaambia kesi isisikilizwe wakati mlikuwa na wiki nzima kujipanga. Ninyi ndo mnawafanya watumishi wa umma waonekane wajinga na pesa ya umma ni shamba la marehemu. Guys be committed.
Ili nchi hii owe na viwanda lazima misingi ya ujenzi wa viwanda uangaliwe. Kitaalam wa viwanda nchi hii aina maji wala umeme, mitaji wala teknolojia, Sera program wala project mkakati za kiviwanda.
Suala na NSSF limesababisha tugundue matumizi ya multiple id's. Inayelalamika no yule yule. Mkuu mbona mahakama zipo. Kwa nini kuharibu maisha ya watu kwa jina la Dr.Dau. Tafadhali tuwe wazalendo tujenge taifa bila majungu.
"THE BIG SHOW, Mkuu unaleta uchonganishi, majungu, udini na fit in a ktk suala na NSSF. Please heshimu watu wamejenga uadilifu wao miaka mingi. Kama unajua utawala na uongozi bac kubali Dr. Dau ndo keshakua Balozi. Acha wengine nao waoneshe uwezo wao. Nchi hii si Mali ya makundi ya mafisadi...
Nchi nyingi duniani elimu inalipiwa. Elimu bure hasa chuo inapatikana nchi za Scandinavia. Ukifuatilia wako vizuri kwa viwango vya maisha bora. SA bado wana matabaka ya kiuchumi wengi wa wasouth wana maisha magumu hadi wanaua wageni. Julius Malema anatetea haki ya maisha bora kwa watu weusi...
Mkuu pole. Tafuta marafiki walioolewa angalia wanavyoishi. Mpe mwanaume nafasi ya kuonesha uanaume wake. Msikilize sana deka kidogo. Acha agharimie kwa uwezo wake. Ngono mapema noma. Kaa mkao wa mwolewaji ili usiwe jamvi la wageni. Apo status ya kijana unayempa fursamuhimu sana.eg elimu,umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.