Barozi ni mtu asiefaa Kwa Nafasi au uaminifu ndyo maana hutupwa barozi nchi frani Kwa Tz lakini ,ukibahitika kufahamu maana ya maneno ,security intelingence au security services haya NI maneno 2 tofauti yenye maana tofauti .UKWELI NI KWABA TUPO KATIKA WAKATI MGUMU SANA TENA SANA .KILA MMOJA KWA...
Katiba ikisukwa vizuri Kwa asilimia kadhaaa ni mwarobaini Kwa mfano ,, Nafasi hizi anateuwa mtu mmoja 1.makamo WA rais 2.waziri mkuu 3.mawaziri wote na manaibu 4 .wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama 5.wakuu wa mikoa 6.wakuu wa wilaya 7.wakulugenzi 8.makatibu tawala 9.wakuu WA idara mfano...
Wakuuu najaribu kuwaza kwa mapana, Tanzania tunatumia KATIBA ya mwaka 1977 na huu ni mwaka 2021.
Malalamiko ni mengi mno kutokana na KATIBA ya OVYO.
Je, Watanzania siku wakifahamu hili suala ni muhimu nini kitatokea na ni lini watafahamu?
Ndyoooo ,wabunge wengi ni vilaza ,,wenye unafuu labda 5 .Watanzania Weng Sijui tulilogwa na nan . Watanzania tupo milioni 70 .wabunge Kwa mfano wapo 400 . Sasa ukiangalia erimu zao wanafeed ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.