Karao
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,053
- 580
Kenya wanayo kampuni kama hii na inawasaidia sana watu mbali mbali pia police ya kenya inapata msaada kutoka hiyo kampuni , katika nchi za east africa kenya peke yake ndio wameruhusu jambo kama hili, sijui kwa tz itakuwaje ila lazima ukutane na chngmoto sana maaana kuna watu unamwaga ugali wao,