Hello Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mambo mengine tutaongea akipatikana. Mimi naitwa John niko Dar kwasasa. Umri wangu miaka 35.
Asante mkuu uchambuzi mujaribu. Kuna mtu Ali post kuhusu dr Neema ni regional director wa WHO huko Malawi Yule Ndio Angefaa. WHO wanataka mtu mwenye international exposure kwenye public health.
Huwezi ku conclude au kumtumia insider kuwa Ndio maisha yalivyo. Insider Ana share experience yake na haiwezi kuwa hivyo kwa kila mtu, experience has to be lived.
Ndio maana hujui nini maana ya kanisa, sasa wewe unataka Utoe pesa upate Vitu kwa kanisa . Kanisa haliendi hivyo, kanisa kwa maana hasa ya Imani linakusaidia kwenye mambo ya kiroho yanakuwezesha kupata Baraka zinazokuwezesha kupata Mali na vitu vitakavyokuwezesha kuendesha maisha. Vitu au Mali...
Kwanza unajichanganya mwenyewe kwenye maelezo yako. Unakaataje Mungu hayupo bila uwepo wake? Huwezi kukataa uwepo WA kitu bila kitu kenyewe Ku exist first. St Anselm, alisema wapumbavu husema hakuna Mungu, wakati mawazoni mwao the concept God is already there.
Tuje kwenye jumuiya na ukatoliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.