Serikal hii sasa tumeijua vyema!! Ninajua kuanzia 2019 wataanza kugawa ajira kama njungu ili kuwa pumbaza watanzania!! Bahati nzuri kuna kizazi hapa katikatika kinahasira kuliko kawaida, kitatibua mission hio kabla yakutimia subiri wapishi waivishe!!
Wakati mwingine huwa mnawafanya watanzania wapumbavu kweli!!
Unajaribu kutengeneza vijihoja vyakuwahamisha watu kwenye hoja za msingi wajadili ujinga wako huu!!
Vyombo vya dola navyo hata havioni kunawatu kama ww wanatakiwa kuhojiwa watoe maelezo maana unaonesha kujua kitu flani!
Chadema sakata...
Jumapili tarehe 11/12/2016 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Kizazi cha kuhoji Tanzania (UTG) Ndg.Bob Chacha Wangwe akiongea na waandishi wa habari alisema UTG inatoa saa 72 kwa taasisi zinazohusika na suala la Ben-Rabiu Wa Saanane na suala la miili ya watu 7 iliyookotwa Bagamoyo zichukue hatua...
Operation hii hata bosi wenu kule aliko anachungulia dirishani kuwapigia simu wakuu wa mikoa na wilaya wahakikishe hakuna mikutano ya siasa!!
Hii yote niuga kwa sababu anajua mziki wa upinzani kwa sasa!! CCM kwa sasa imebakiza jina na vijana wachache nao wapo kimaslahi!!
Tena kama mnajielewa...
Unachopaswa kujua serikali imejificha kwenye mapingamizi nabahati ilioje hata mapigamizi yenyewe hayajasikilizwa,,,,sasa unataka Lema aachie huku hata taratibu zakimahakama hazielekezi unavyotaka?
Hawa mawakili wa serikali wanapaswa kwenda moja kwa moja kwenye kesi ya msingi, mapingamizi yao...
Mbona huzungumzii yule aliejivika umungu mtu ambaye kila siku anashitaki watu? Je kesi zake zinalipiwa na nani? Sisi hatukumtuma akaropoke ovyo sasa yy badala yakufanya yenye masilahi ya nchi anatafuta utukufu binafsi, akipingwa tayari kesi, nani hulipia hizi kesi zamadhaifu ya mtu binafsi? Huyu...
Taarifa zakipuuzi kwenu ni kuikosoa serikali na miungu watu wake!!? "Amtumainie mwanadamu amelaaniwa" panueni magereza hakika mnajichimbia shimo ambalo hamtakuja kulisahau!! Sisi watanzania sio wajinga kama mnavyofikili!!
Time will tell.......
Hii nchi inaraia wengi mizigo, safari hii hadi 2020 tutaheshimiana, siasa zakihuni wekeni pembeni!! Goli lamkono kule tuendako litawaathiri pakubwa, badala yakufanya majukumu yenu umma uyanotisfy nyie mnatulazimisha tuyaone hata kama hayaonekani!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.