Ni mkristo gani aliekwambia agano la kale limefutwa na agano jipya..wewe ndo umepotoka na usitake kuwapotosha watu..agano la Kale linazungumzia habari Njema za mungu kabla ya yesu kristo.. agano jipya ni habari njema baada ya yesu kuzaliwa..
Nimekua nikihangaika sana wakuu kwa kutafuta ni dawa gani itanisaidia lakini nimefikia kuambulia matokeo mabovu..nimeshatumia vidonge mwezi mzima lkn ni kma nachochea..unaanzia kichwani mpaka usoni kote mpaka kifuani na mgongoni.. msaada wenu tafadhali wataalamu Wa ngozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.