Wachungaji wa Kike na Wahubiri wengine mnasemaje kuhusu kifungu hiki cha Biblia Takatifu?

Nabii huwa anatolea wapi unabii wake?
Usitake kiniambia madhabahuni ukitaka kutumia reference ya hawa wahuni wa sasa hivi wanaojiita manabii....

Nabii alikuwa anapata maono na alikuwa anaenda maeneo mbalimbali hata kwenye njia na kukusanya watu...Ila kamwe alikuwa haweki miguu yake Madhabahuni(Patakatifu pa takatifu) kamwe...

Rejea Yohana alipita huku na huko na kutangaza "tengenezeni njia ya Bwana ya nyoosheni mapito yake..."

Kupata maono ni jambo moja na juhubiri kama Kuhani(kibali cha kuhutubu madhabahuni ni jambo lingine)Mtu yoyote anaweza kuwa Nabii kwa wakati wake....
 
Big up ndugu ubarikiwe ....napenda arguments za aina hii
Hakuna cha maana alicho andika zaidi ya off-quote...

Ana Quote vitu tofauti....Anataka ku-justify majibu yake kwa quote ambazo hazina uhusiano...

Madhabahuni kamwe mwanamke haruhusiwi kusimama kuhutubu as if yeye ni Kuhani...
 
Usitake kiniambia madhabahuni ukitaka kutumia reference ya hawa wahuni wa sasa hivi wanaojiita manabii....

Nabii alikuwa anapata maono na alikuwa anaenda maeneo mbalimbali hata kwenye njia na kukusanya watu...Ila kamwe alikuwa haweki miguu yake Madhabahuni(Patakatifu pa takatifu) kamwe...

Rejea Yohana alipita huku na huko na kutangaza "tengenezeni njia ya Bwana ya nyoosheni mapito yake..."

Kupata maono ni jambo moja na juhubiri kama Kuhani(kibali cha kuhutubu madhabahuni ni jambo lingine)Mtu yoyote anaweza kuwa Nabii kwa wakati wake....
Enzi za Yesu alichukuliwa kama nabii katika jamii ya Israel na aliruhusiwa kuhubiri hekaluni (madhabahuni) inakuwaje hapo?

Patakatifu pa patakatifu sio madhabahuni bali ni kwenye hema la kukutania palipo na sanduku la agano au katika hekalu alilolijenga Suleiman lililopo Jerusalem japo hekalu halikua moja.
 
Nabii huwa anatolea wapi unabii wake?
Unabishana na maandiko???
1473089418476.png
 
Unabishana na maandiko???View attachment 394193
Hilo andiko sibishani nalo na ninakubaliana nalo 100% nyie mnatafsiri tofauti na maana halisi na tayari nimeshaweka mistari chungu nzima iliyompa mwanamke mamlaka ya kuhubiri Injili.

Tena saivi utumishi ni tofauti na Jesus time au old testament saivi Yesu aliacha kazi moja tu ulimwenguni nayo ni kuhubiri tu Injili tofauti na zamani kuhani alikua ana kazi nyingi sana.
 
Andiko hilo limepitwa na wakati kabsa...tena ni jambo dogo...women go go...bhana hubiri...why wakuzuieni...sasahv tuko kwenye mjadala iwapo kuoana watu wa jinsia moja ni ndoa inayofaa katika ukristo au la....mjadala uko hapo...hayo mwanamke kuhubiri mbona lilishapitwa na wakati?! Mmesahau karne zile watu walijadili kama mwanamkee ana roho ama la?! Wanawake wamevuka vikwazo vingi....tusiwatilie usiku....kiukweli kabsa...hakuna ukristo katika karne hiii.....! HAKUNA...ni mwendo wa maslah binafsi kwenda mbele....!
 
kwan kwa waislaam kuna sheria za quran zinazo wazuia au n mfumo
Sina uhakika mkuu, ila ukifuatilia sana si kawaida mwanamke katika msikiti anakuwa imamu au anaendesha swala! Nimesoma katika tovuti moja inaitwa Mwanzonews.com nimekuita hiyo habari
 
Enzi za Yesu alichukuliwa kama nabii katika jamii ya Israel na aliruhusiwa kuhubiri hekaluni (madhabahuni) inakuwaje hapo?

Patakatifu pa patakatifu sio madhabahuni bali ni kwenye hema la kukutania palipo na sanduku la agano au katika hekalu alilolijenga Suleiman lililopo Jerusalem japo hekalu halikua moja.

Enzi za Yesu alichukuliwa kama nabii katika jamii ya Israel na aliruhusiwa kuhubiri hekaluni (madhabahuni) inakuwaje hapo?

Patakatifu pa patakatifu sio madhabahuni bali ni kwenye hema la kukutania palipo na sanduku la agano au katika hekalu alilolijenga Suleiman lililopo Jerusalem japo hekalu halikua moja.

Enzi za Yesu ni zipi...? Mbona hizo Enzi Yesu alikuwa akijulikana kana Rabi au Mwalimu...? Hata Yeye mwenyewe alijiita Mwalimu...Au umeamua kumpa Yesu Cheo cha Unabii.....

Labda kama ulikuwa hujui hema la Kukutania lilikuwa ni kitu gani,,,,Ngoja nikufahamishe....
Wakati wa Safari ya Waisraeli kwenda Kanaan, Mungu alimwagiza Musa atengeneze hema. Katika Hema hilo liliwekwa Sanduku la Agano lenye amri za Mungu. Waisraeli walisafiri na Hema hilo na kulisimika mahali walipopiga kambi...Musa aliingia Hemani alipotaka kuzungumza na Mungu ndio maana likaitwa Hema la Kukutania... Rejea Kut 29:42

Kwa taarifa yako Hekalu ni moja tu...Hakuna Hekalu Zaidi ya Moja na lilikuwa jingo la kudumu ambapo ibada ya kutolea Sadaka za wanyama na Nafaka zilifanyika na zilifanyika mara moja kwa mwaka..
Labda kama unataka kufananisha Hekalu na Sinagogi...Masinagogi yalikuwa Mengi...
 
Ahadi ya Roho Mtakatifu ni kwa watu wote,lakini bado Biblia haijampa mwanamke AUTHORITY OVER A MAN. Uchungaji ni mamlaka, na mamlaka hiyo ni ya kiume. Ndio maana kuanzia Agano la kale, hakuna rekodi yoyote ya mwananke aliyewahi kuwa KUHANI( kwa lugha ya sasa PRIEST ama MCHUNGAJI. Ukuhani ( Priesthood) ulikuwa EXCLUSIVE kwa kabila la WALAWI na wala hakukuwa na yeyote katika WANAUME katika makabila yale 11 yaliosalia ambako mwanaume angelazimisha ama kujipendekeza ama kupendekezwa kuwa kuhani. Na kwa kuwa MUNGU habadiliki, na njia zake hazibadiliki. Kwa kuwa Mungu ni NENO, Basi Neno la Mungu halibadiliki, n aikiwa ndivyo ilivyo, basi utaona ni WAZIMU mkamilifu leo kuwa na MAKUHANI WANAWAKE. Mwenye kuelewa na aelewe, na mwenye kuamini hili na ashikilie sana hii Divine Principle.

Act 2:18 even on my male servant sand female servants in those days I will pour out my Spirit, and the shall prophesy.
 
Hilo andiko sibishani nalo na ninakubaliana nalo 100% nyie mnatafsiri tofauti na maana halisi na tayari nimeshaweka mistari chungu nzima iliyompa mwanamke mamlaka ya kuhubiri Injili.

Tena saivi utumishi ni tofauti na Jesus time au old testament saivi Yesu aliacha kazi moja tu ulimwenguni nayo ni kuhubiri tu Injili tofauti na zamani kuhani alikua ana kazi nyingi sana.
Umeweka mistari gani ndugu...angali mistari yako yote ipo off-point.... Mambo ya Unabii na kusimama madhabahuni ni vitu viwili tofauti ndugu...
 
Act 2:18 even on my male servant sand female servants in those days I will pour out my Spirit, and the shall prophesy.
Ndugu mbona unakuwa na kichwa kigumu kama uliyelogwa...? Kutoa unabii hakuhusiani na kusimama madhabahuni na kuhutubu ....Kusimama madhabahuni na kutoa mahubiri ni kazi impasayo mwanaume pekee.... Mbona unataka kulaziisha mambo..
 
Hilo andiko sibishani nalo na ninakubaliana nalo 100% nyie mnatafsiri tofauti na maana halisi na tayari nimeshaweka mistari chungu nzima iliyompa mwanamke mamlaka ya kuhubiri Injili.

Tena saivi utumishi ni tofauti na Jesus time au old testament saivi Yesu aliacha kazi moja tu ulimwenguni nayo ni kuhubiri tu Injili tofauti na zamani kuhani alikua ana kazi nyingi sana.
Maelezo yako yapo wazi kuwa umepingana na andiko mkuu. Kama Yesu angetaka kuruhusu wanawake wahubiri madhabahuni angechukua angalau hata mwanamke mmoja katika wanafunzi wake. Cha ajabu hata mwanamke mmoja hakuwemo katika wanafunzi wake 12!! Hivi ndio tuseme Yesu alikuwa mbaguzi wa wanawake?? Au alikuwa amepitwa na wakati???. Binafsi naamini Mwenyezi MUNGU yupo sahihi sana kuzuia wanawake wasihutubu pale mbele. Siku hizi wanaimba kwaya karibu nusu ya mgongo upo wazi ni aibu sana hii! Wanaimba wamejirembaaa utadhani wanataka kuwavutia wanaume kwenye hiyo kwaya!! Hii ni hatari sana! Kuna watu huwa mawazo yanahama kabisa mle kanisani kwa ajili ya kuangalia wanawake wanaoimba kwa mbwembwe na kurembesha sauti zao kanisani na kazi hiyo ya kupotosha nyoyo za watu huwa ni ya shetani. Je wanawake wamekuwa ajenti wa shetani siku hizi kwa kisingizio cha ibada iende na wakati?? Mwenyezi MUNGU ni yule yule au mna Mungu mwingine??
 
Nyaraka za Mtume Paulo ziliandikwa kuwalenga watu fulani. Miongoni mwa Wakorintho, mwanamke hana nafasi ya kuzungumza mbele za kadamnasi.

Paulo aliwaambia Wakorintho yanayowahusu Wakorintho, lakini si kwamba aliwakataa wanawake. Soma Matendo 18:24-26
Wapi yalizungumzwa mambo ya watanzania?
 
Back
Top Bottom