Hii inaonesha uzembe wa hali ya juu kabisa. Chuo kitakachobainika kiwajibike kwa hili. Hii ni kuonyesha ni namna gani taasisi za afya zimekua na uzembe hata katika kujali afya za watu. Kwa kawaida, hii miili(Cadaver) hutumika kujifunzia wanafunzi wa udaktari wa mwaka wa kwanza kwa somo liitwalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.